Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ulipaswa kuwa msituni wewe huna tofaiti kymaHao walijazwa uoga na Mabeberu
Rais Magufuli amefanya maamuzi sahihi Mungu anatupesha na corona
Wabaki Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipaswa kuwa msituni wewe huna tofaiti kymaHao walijazwa uoga na Mabeberu
Rais Magufuli amefanya maamuzi sahihi Mungu anatupesha na corona
Wabaki Dar
Beberu kama Makonda aliyesema Dar watu wanapuputikaHao walijazwa uoga na Mabeberu
Rais Magufuli amefanya maamuzi sahihi Mungu anatupesha na corona
Wabaki Dar
Leo tunaanza kubaguana wenyewe kwa wenyewe. Ili jambo likipita tunaweka kituo Bagamoyo na Kibaha, kila anaeingia Dar awe na kibari maalumu na sababu ya msingi.
Yeye mwenyewe mkuu alitoroka Dar wiki ya tatu sasa.Ukifika chato sinui ataenda wapi.Hao walijazwa uoga na Mabeberu
Rais Magufuli amefanya maamuzi sahihi Mungu anatupesha na corona
Wabaki Dar
MTUKUFU NI MMOJA TU ALIE JUUkama alivyosema raisi wetu mtukufu
Acha kupoteza muda Dar haifungwiKuendelea kuw ana magari ,mabasi usafiri wa dar kwenda mikoa mingine ni kuilipua nchi kizembe sana
Too late raia kibao washakimbilia mikoani!!!Nashauri DSM ifungwe ili nchi ishughulike na maambukizi kwa DAR, miko mingine iwe na ahueni kubwa, hili ni kuipa uwezo serikali ielekeze resources zote kwa dar na waushinde UGONJWA.
DAR tumenufaika sana na kuwa jiji kubwa na serikali kuota mizizi hapo, tukumbuke kila kwenye faida kuna hasara zake, iwapo faida za dar tunafaidi wana dar, tuwe waungwana hasara tuzibane dar pekee, sio ziachwe ziende nchi nzima.
Kuendelea kuw ana magari ,mabasi usafiri wa dar kwenda mikoa mingine ni kuilipua nchi kizembe sana
Nawasilisha