Hakuna maana ya kufunga mipaka ugonjwa ushasambaa
Mkuu hapa tufanye Dar, Zanzibar, Mwanza, Morogoro, na kote kuliko athirika.
Enyi serikali mmeshauriwa haya kabla ya ugonjwa kuingia. Mkashauriwa haya wakati ugonjwa uko Dar kwa nini hivi?
Mnataka hadi wafe wangapi?