Kwako Mkuu wa mkoa wa Dar au mamlaka ya juu (rais)
Kwa kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 na takwimu zinazotolewa kila siku na Mheshimiwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, ni dhahiri kuwa jiji la Dar limekuwa kitovu cha ugonjwa huu hapa nchini. Kila siku idadi ya wagonjwa inapanda kwa kazi sana.
Nashauri mamlaka husika mfuate ushauri wangu ili kupunguza kazi ya maambukizi nchi nzima.
Ikiwapendeza au ikiwezekana ushauri huu ufanyiwe kazi mapema iwezekanavyo kwa kuwa kila siku mabasi na vyombo vya abiria vinaingiza na kutoa watu kwenye hilo jiji.
Naomba kuungwa mkono.
Nawasilisha.