Muda sahihi wa kuiweka Dar es Salaam kwenye “lockdown” ni sasa

Muda sahihi wa kuiweka Dar es Salaam kwenye “lockdown” ni sasa

Mpka sasa nashishindwa kuelewa namna serikali inavyowalinda raia wake dhidi ya maambukizi.
 
Tunaelewa umuhimu wa jiji la Dar es Salaam katika maisha ya Watanzania na nchi jirani. lakini kwenye hili suala la corona hakuna kuzubaa tena. Mamlaka husika iweke utaratibu mzuri wa kulibana hili jiji ili kuzuia na kupunguza kabisa kasi ya usambaaji wa covid19.

KWANINI NIMEWAZA HIVYO?
Interaction ya Dar na maeneo mengine ya nchi hii italeta shida sana. Sasa hivi hakuna mjadala tena sasa hivi serikali inazuia maambukizi ya ndani kwa ndani na jiji la dar ndo limekuwa na cases nyingi zaidi za huu ugonjwa.


further reading
Wuhan ends coronavirus lockdown – in pictures
Coronavirus - Quora
Mkuu unaweza ukatuambia nchi gani imefanikiwa kuudhibiti ugonjwa huu kwa hiyo LOCKDOWN mnayoipigia chapuo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana nawe ila elewa maana yangu; NINAPOSHAURI KUFUNGWA KWA JIJI NAMAANISHA WATU WALIOKO DAR WAENDELEE KUFANYA KAZI (KWA TAHADHARI) WASITOKE NJE YA DAR NA WALIOKO NJE YA DAR WASIENDE DAR.

Kwa maana hiyo kuenea kutadhibitiwa Dar na maambukizi hayatasambaa kwa kasi sana.

Pia kuhusu vyakula, magari ya mizigo yanaweza kupeleka vyakula na ni rahisi kuyanyunyizia madawa kabla na baada ya kuingia/kutoka Dar.
Hivyo hivyo na mizigo ya biashara Inawezekana ikapelekwa mikoani kuwa utaratibu huo wa magari ya mizigo ambayo ni rahisi kuyadhibiti.
Je kuhusu wafanya biashara wa hizo bidhaa km dereva, utingo, sokoni, nk kama wanaweza kujikinga na maambukizi, ni wazi kuwa hata wateja wao wanaweza. Hoja hii ina maana kuwa iwapo hao hawatachukua tahadhari za maambukizi watasambaza Dar na Mikoani walikotoa au kupeleka bidhaa.

Nasisitiza, jukumu la kujikinga na maambukizi ni wajibu wa mtu mwenyewe kwa usalama wake na mwingine. Kwa mfano, mimi sikubali kuguswa wala kumgusa mtu na sijumiki kwenye mikusanyiko ya watu. Ikibidi kufanya hivyo km kanisani nakaa umbali salama au navaa barakoa.
 
Kwa maneno yako una maanisha mwananchi asiitegemee serikali maana haina hadhi ya kuaminiwa wala kutegemewa na wananchi!!

Korona ilianza baada ya serikali kukaidi kuzuia ndege na kufunga mipaka, sasa hivi hali imekua mbaya mnasema mwananchi ajilinde je wakati wa kuzuia ndege mlitaka wananchi wazizuie?

Korona imetupa picha halisi ya serikali yetu!!
Serikali imekwisha kutoa ushauri wa jinsi ya kujikinga kwa maambukizi na inaendelea kusimamia utekelezaji wake. Ni jukumu la kila mwananchi kuzingatia ushauri huo kwa hiari.
 
Kama unataka lockdown si ukae kwako ujifungie wewe na familia yako kwani nani atakuzuia.
Yaani watanzania wafe kwa njaa kisa Corona hebu tutumie akili kidogo tu kuwa asilimia kubwa ya wananchi hawaijui kesho yao itakuwa vipi.

Sasa mnavyolazimisha lockdown wewe utawapelekea chakula au kisa baadhi yenu mnaotaka Hilo jambo mko vizuri kiuchumi na mmeajiriwa serikalini hali ya kuwa huko vijijini watu kula tu imekuwa shida halafu unataka wafungiwe wenzio ndani huu ni upumbavu uliopitiliza

NI KWELI CORONA INAUA NA LAZMA TUCHUKUE HATUA ILA LOCKDOWN NI JANGA KUBWA KULIKO CORONA

Sent using Jamii Forums mobile app

hakuna kauli ya kishenzi kama hii. wagonjwa wakifikia buku hospital zote zikijaaa nisisikie mbuzi yoyote inaniambia mambo ya lockdown.
Hamjui madhara ya magonjwa haya. kama serikali haina uwezo wa kuwalisha maskini wake hata kwa siku 21 iseme.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawaomba viongozi wetu mtusikie. Japo nyie ndiyo kama wazazi wetu kwa sasa katika kupambana na hili Janga la Covid 19, mwajua zaidi yetu na kinachotufaa.

Natoa wito na ombi mfunge Mipaka ya Jiji la DSM, magari ya mizigo ya lazima na vyakula tu yaruhusiwe. Wazee wetu huko mikoani wapo kwenye risk kubwa sana. Msisubiri ugonjwa usambae zaidi.

Msishupaze shingo jamani, hata nyie mna ndugu na jamaa wa ambao mnaweza kuwapoteza vile vile. Ukizingatia kuwa tuna upungufu wa vifaa na nguvu kazi.

Tafadhali jamani, walau muwe na huruma japo kidogo tu; hayo mapato mnayotatafuta mnaweza mkayapata na mkashindwa kuyatumia vile vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawaomba viongozi wetu mtusikie.Japo nyie ndiyo kama wazazi wetu kwa sasa katika kupambana na hili Janga la Covid 19,mwajua zaidi yetu na kinachotufaa.
Natoa wito na ombi mfunge Mipaka ya Jiji la Dsm,magari ya mizigo ya lazima na vyakula tu yaruhusiwe.Wazee wetu huko mikoani wapo kwenye risk kubwa sana.Msisubiri ugonjwa usambae zaidi.
Msishupaze shingo jamani,hata nyie mna ndugu na jamaa wa ambao mnaweza kuwapoteza vile vile.Ukizingatia kuwa tuna upungufu wa vifaa na nguvu kazi.
Tafadhali jamani,walau muwe na huruma japo kidogo tu;hayo mapato mnayotatafuta mnaweza mkayapata na mkashindwa kuyatumia vile vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshachelewa sn mkuu......tayari mikoa 19 imeshaambukizwa kwa hiyo hakuna Stori ya Dar hapo ni nchi nzima umeshasambaa....
Viongozi wetu wanazidi kutuangamiza kwa kukosa maarifa wanatutaka tuchape kazi huku wao wamejichimbia kusikojulikana...
TUMECHELEWA MARA MBILI...
1. JIWE ALIKATAA KWA KIBURI CHA KISHAMBA KUFUNGA MIPAKA YA NCHI ETI TUSIKOSE WATALII
2.JIWE AMEENDELEA KUKATAA KUIFUNGIA DAR PAMOJA NA USHAURI WA MH MBOWE MARA MBILI ETI TU KWA SABABU NI KAULI YA MBUMGE KUTOKA UPINZANI
 
Tunawaomba viongozi wetu mtusikie. Japo nyie ndiyo kama wazazi wetu kwa sasa katika kupambana na hili Janga la Covid 19, mwajua zaidi yetu na kinachotufaa.

Natoa wito na ombi mfunge Mipaka ya Jiji la DSM, magari ya mizigo ya lazima na vyakula tu yaruhusiwe. Wazee wetu huko mikoani wapo kwenye risk kubwa sana. Msisubiri ugonjwa usambae zaidi.

Msishupaze shingo jamani, hata nyie mna ndugu na jamaa wa ambao mnaweza kuwapoteza vile vile. Ukizingatia kuwa tuna upungufu wa vifaa na nguvu kazi.

Tafadhali jamani, walau muwe na huruma japo kidogo tu; hayo mapato mnayotatafuta mnaweza mkayapata na mkashindwa kuyatumia vile vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekimbilia chato kujificha huko wao wasubiri mlipuko utakapolipuka watatafutwa huko huko walikojificha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshachelewa sn mkuu......tayari mikoa 19 imeshaambukizwa kwa hiyo hakuna Stori ya Dar hapo ni nchi nzima umeshasambaa....
Viongozi wetu wanazidi kutuangamiza kwa kukosa maarifa wanatutaka tuchape kazi huku wao wamejichimbia kusikojulikana...
TUMECHELEWA MARA MBILI...
1. JIWE ALIKATAA KWA KIBURI CHA KISHAMBA KUFUNGA MIPAKA YA NCHI ETI TUSIKOSE WATALII
2.JIWE AMEENDELEA KUKATAA KUIFUNGIA DAR PAMOJA NA USHAURI WA MH MBOWE MARA MBILI ETI TU KWA SABABU NI KAULI YA MBUMGE KUTOKA UPINZANI
Itapata huko alikoenda kujificha anajiita jiwe Wakati muoga amekimbia na makamu wake wamekimbia wote sijui wamejificha wapi na mwisho waziri Mkuu nae atakimbia tutapaki wenyewe sasa kila mtu atapaki akijichukulia hatua mwenyewe pasipo muongozo wa wowote wa nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawaomba viongozi wetu mtusikie. Japo nyie ndiyo kama wazazi wetu kwa sasa katika kupambana na hili Janga la Covid 19, mwajua zaidi yetu na kinachotufaa.

Natoa wito na ombi mfunge Mipaka ya Jiji la DSM, magari ya mizigo ya lazima na vyakula tu yaruhusiwe. Wazee wetu huko mikoani wapo kwenye risk kubwa sana. Msisubiri ugonjwa usambae zaidi.

Msishupaze shingo jamani, hata nyie mna ndugu na jamaa wa ambao mnaweza kuwapoteza vile vile. Ukizingatia kuwa tuna upungufu wa vifaa na nguvu kazi.

Tafadhali jamani, walau muwe na huruma japo kidogo tu; hayo mapato mnayotatafuta mnaweza mkayapata na mkashindwa kuyatumia vile vile!

Sent using Jamii Forums mobile app

Samahani mkuu, huyo kwa Avatar ndo Wewe??
 
!
IMG_20200420_142128.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna maana ya kufunga mipaka ugonjwa ushasambaa
 
Itapata huko alikoenda kujificha anajiita jiwe Wakati muoga amekimbia na makamu wake wamekimbia wote sijui wamejificha wapi na mwisho waziri Mkuu nae atakimbia tutapaki wenyewe sasa kila mtu atapaki akijichukulia hatua mwenyewe pasipo muongozo wa wowote wa nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuendelee kuvumilia labda watajitokeza wakiguswa na upepo wa kisulisuli
 
Back
Top Bottom