Muda sahihi wa kuiweka Dar es Salaam kwenye “lockdown” ni sasa

Muda sahihi wa kuiweka Dar es Salaam kwenye “lockdown” ni sasa

Kinachotakiwa kufanyika ni kusambaza vifaa vya kupimia kila kata ili watu wapimwe kwa wingi kila siku iendayo kwa Mungu
Punguza mishahara, punguza kodi ili kuleta unafuu wa maisha kwa myonge,

Simamisha ujenzi wa SGR na Stigler, kwa kigezo cha "force majeur"ambacho kinakubaliwa kwenye mkataba,

then chukua hela yote peleka kununua vifaa vya maabara na kunikinga na corona

Hakikisha kila hospitali ya wilaya ina maabara ya kupima korona

Hakikisha kila kaya kupitia serikali ya mtaa ina mask na sanitizer.

Logistics za kusambaza tuombe misaada NEC au NECTa jinsi wanavyo mudu kusambaza ballot paper kila kijiji au emams paper kila shule
 
mike2k,
Inaendea Mwezi Sasa Tangu The 1st Case Of Corona kwa hapa Tanzania kuwa confirmed na deaths ni less Than 5.

India au US baada ya Mwezi vifo vilikuwa vingapi?

From day One mlikuwa Mnalilia Lockdown. Yaani Kabisa Watu Tujifungie ndani tunasubiria Corona?

Mkuu Ntatumia Neno Zito Kidogo ila Acha "Kujipanikisha". The disease Is real and Yes It Kills but panic haisadii.
 
Mkiwaweka watu kwenye lockdown mtawapeleka Chakula.....
Hivi unajua watanzania wengi wao hawawekagi stock ya chakula cha mwezi wao wakitoka ndiyo wale

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: PNC
PNC,
Mkuu ni bora mateso ya muda mchache kuliko maumivu ya milele, hakuna atakae kufa kwa njaa bongo, watanzania tunaishi kwa upendo na kusaidiana, jirani yako hawez shidwa kukusaidia chakula kama una njaa,

ukiangalia nchi zote zilizotuzunguka amboza zimefanya maamuzi ya lockdown, sisi kwa asilimia kubwa huzilisha izo nchi, mbona wao hawafi kwa njaa, kuna maeneo yana mafuliko na hawana msaada mpaka leo, lakini hatujasikia mtu kafa kwa njaa
 
mike2k,
Ni kweli kabisa,na mimi nilitaka kutoa mfano wa Wuhan bila Serikali ya China kuchukua hatua za haraka ku-lockdom mji wa Wuhan basi corona ingesambaa Uchina nzima na ku-overhelm mahosptaki
 
Najiuliza zimbabwe na uchumi wao mbovu wamemudu lockdown ya wiki tatu, kuna watu hawaelewi kwamba kuchukua tahadhari ni swala la protocol bila kujali janga litatokea au la, vinginevyo tuambiane kuna watu wana mentality ya Tomaso, bila kuona hawezi kuamini...
 
PNC,
Mkuu lockdown itavunja mnyororo wa maambukizi.

Kwa nini tusitenganishe lockdown kama njia ya kuuvunja mnyororo wa maambukizi na namna ya kupata chakula kwa kila mtu kipindi cha lockdown.

Ku support lockdown Rwanda Azam katoa msaada wa tani 20 za chakula.
 
Nani kasema?.
wakati hata 100 ya kuwapa omba omba unaona unapoteza. Tuache unafiki.
Mkuu ni bora mateso ya mda mchache kuliko maumivu ya milele, hakuna atakae kufa kwa njaa bongo, watanzania tunaishi kwa upendo na kusaidiana, jirani yako hawez shidwa kukusaidia chakula kama una njaa, ukiangalia nchi zote zilizotuzunguka amboza zimefanya maamuzi ya lockdown, sisi kwa asilimia kubwa huzilisha izo nchi, mbona wao hawafi kwa njaa, kuna maeneo yana mafuliko na hawana msaada mpaka leo, lakini hatujasikia mtu kafa kwa njaa

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Aliye dar asitoke nje ya dar. Na aliye nje asiingie, utaratibu wa wageni kutoka nje ya Tz wa kuwekwa chini ya uangalizi kwa siku kadhaa uendelee, Mambo mengine ndani ya Dar yaendelee.
Unataka watu wa Dar wafe kwa njaa? unaongea kama vile dar kuna shamba watu wanalima wakati vyakula vyao vyote wanatoa mikoani
 
Krikichino, Panic inachangia kwa kiasi kikubwa mgonjwa kufa. Wahenga wa kizungu walisema " you become what you think"

Kila ugonjwa unaua ila kwa hii Corona jinsi inavyoongelewa inapelekea taharuki kubwa kwa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka watu wa dar wafe kwa njaa? unaongea kama vile dar kuna shamba watu wanalima wakati vyakula vyao vyote wanatoa mikoani
Tatizo Ww ukisikia lockdown unawaza watu na shughuli zote kusimama. Sivyo, maana hii si vita ya mabomu na risasi.

Malori ya Mizigo yataendelea kuingia kwa utaratibu maalum kama ilivyo kwa mizigo kutoka nje maana ni rahisi ku control. Lockdown inakuwa ya movements ya binadamu kutoka na kuingia dar kwa kutumia mabasi, meli na ndege.
 
Nani kasema?.
wakati hata 100 ya kuwapa omba omba unaona unapoteza. Tuache unafiki.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Mkuu kwa wale watu wa Dar watanielewa kwamba kupeana nauli na kununuliana chakula ni kitu cha kawaida sana na kimesha zoeleka
 
Hivi Chadema waliishafunga ofisi zao kwasababu ya Corona? Hivi wabunge wao hawaendi Bungeni? Kama yote wanafanya kelele za nini?
 
Back
Top Bottom