Muda sahihi wa kuiweka Dar es Salaam kwenye “lockdown” ni sasa

Serikali inafanya nini..wawape watu chakula..nchi ni watu au wanataka kuongoza "Ghost towns"
 
Mpaka sasa serikali imeshaonyesha ulinzi wa raia dhidi ya Corona awataki kujivika hayo majukumu.

Solution ni kwamba ‘abiria chunga mzigo wako’ hakuna namna.
Ndugu Mike2k, hakuna mtu anajali afya yako. Jiongeze mwenyewe. Huu ndo ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…