KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
kuheshimu maamuzi ya mtu sio yote yanafaa kuheshimiwa ndio maana nikaandika "usahihi wa mwanadamu upo kama havunji sheria za nature tu!"Uko sahihi kqbisa. Kiwango cha juu cha ukomavu wa kimaisha ni kuheshimu maamuzi ya mwingine. Ndio maana hata mimi nimefanya kuwa jambo binafsi.
mfano mtu anaefanya mapenzi kinyume na maumbile hafai kuheshimiwa!, maana nature lazima ikuadhibu tu ukienda kinyume nayo huwezi kulia chakula kwa kutumia sikio! halafu tukuchekee vipo vitu vyakuheshimu mtu lkn si vyote maana tuna uhuru lkn uhuru usio na mipaka ni ubatili.