kuheshimu maamuzi ya mtu sio yote yanafaa kuheshimiwa ndio maana nikaandika "usahihi wa mwanadamu upo kama havunji sheria za nature tu!"Uko sahihi kqbisa. Kiwango cha juu cha ukomavu wa kimaisha ni kuheshimu maamuzi ya mwingine. Ndio maana hata mimi nimefanya kuwa jambo binafsi.
sifati mkumbo nilichokuambi ukikaa chini ukaangalia maisha yako utaelewa vipo vingi tu unavyovifuata kutokana na imani uliyozaliwanayo bila kujali utashi wa akili yako!.Hapa tunachokiongelea ni kumuaga maiti na co kuiona maiti, kuaga na kuona ni vitu 2 tofauti, alafu unaposema hata mimi ningekua uko ningefanya nyie mfanyavyo, nasema nisingefanya kwa7bu huwa sifanyi jambo eti kwavile wengi wanaufanya, mimi nafanya jambo baada ya kutafuta ukweli wa jambo husika.
Usifuate mkumbo tafuta ukweli wa mambo unayoyafuata, Elimu haina mwisho mkuu.
Mungu hajawahi pungukiwa manpower! Mkizingua kuimba anasema hata mawe yataimba!Yesu mwenyewe hakumuaga Lazaro rafiki yake kipenzi. Alisubiri afe aoze ndio akaja kutoa rambirambi na pole kwa wakina Martha na Mariam. Utaratibu huu wa kuaga hasa kwa wakristo umetoka kwa tamaduni za wazungu sio biblia.
Mcha Mungu akifa ni baraka maana anapumzika akisubiri kula maisha Mbinguni, ila hasara tu kwa Mungu maana anakuwa amepungukiwa manpower.
"Heri wafu wafao katika Bwana"
Ok nimekuelewa, uwe na siku njema na yenye mafanikio mkuu, but sorry kama umekwazika lani sio lengo langu kumkwaza mtu.sifati mkumbo nilichokuambi ukikaa chini ukaangalia maisha yako utaelewa vipo vingi tu unavyovifuata kutokana na imani uliyozaliwanayo bila kujali utashi wa akili yako!.
sio jambo la hatari kuaga maiti labda awe ni mtu aliefariki kwa ugonjwa unaoweza kuambukizika kwa njia rahisi ama alipatwa ajali mbaya ambayo kuona inahitaji ujasiri!.
Mavuno ni mengi lakini watendakazi ni wachache.Mungu hajawahi pungukiwa manpower! Mkizingua kuimba anasema hata mawe yataimba!
Hii tafsiri imetok@na na uelewa wako binafsi au ni kutokana mafundisho uliyopewa?Yaani MTU anaendelea kuwepo katika spiritual realm (ulimwengu wa roho)
Hata ukiwa kuna mambo unataka akujuze unaweza kujiungajisha nae .
Kuaga mwili wa marehemu ni utaratibu uliopo tu.
Unaweza kuamua kutomuaga marehemu Ila ikakuletea shida ,familia yake wakapata shida.
Binadamu huwa hafi Ila kinachokufa ni mwili wa nyama tu.
Kama unavyosema Jesus Christ au Mungu yakobo n.k means those guys are still alive in spiritual realm.
Even ur ancestors they are still alive in spiritual realm.
Ukisikia ur mama is gone or anybody who is closed to you nenda umuage wewe hauoni kuwa anaona Ila yeye anaona.
Huwa sipendi kuaga sijui ni kwa vile nimekaa sana na wafu mochwari?
Naomba ka ufafanuzi hapa kidogo...MTU anapokufa anakuwa umekufa mwili wa nyama Ila yeye binafsi anakuwa yupo anaedndelea ku-exist
Ukifika kuhudhuria katika nyakati zote tatu utakuwa umefanya vzr.
Akiwa mzima
Akiwa ktk nyakati zake ngumu
Akiwa tayari roho imeacha mwili.
yani nipo najaribu kumuelewa lakini uelewa unamkataa huyu mtoa mada,, mbona siku akijaribu ivo labda ndugu wa mgonjwa wasijue,lasivyo ataagwa yeyeYaani hao wagonjwa unaenda kuwaambia kwa heri naona unakaribia kufa? Kwani kifo usababishwa na uginjwa tu? Vipi kuhusu ajali za namna nyingi tu, ikiwemo kutandikwa risasi kama yule dada Acquilina? Hauwezi kuagana na mtu kuwa atakufa baada ya muda mfupi wakati hujui siku wala saa wala sehemu.
Ms R
Nimeipenda hiiππππ
Amini nakuambia, hajawahi pungukiwa na manpower! Neema yake yatosha!Mavuno ni mengi lakini watendakazi ni wachache.
Huoni hii ni upungufu wa manpower.
Toa proof kwamba mtu anapokufa yeye binafsi anaendelea kuishi, toa proof ili nasi tujue. Otherwise zitakuwa hisia tu au kusoma vitabu vya imani tofauti.MTU anapokufa anakuwa umekufa mwili wa nyama Ila yeye binafsi anakuwa yupo anaedndelea ku-exist
Ukifika kuhudhuria katika nyakati zote tatu utakuwa umefanya vzr.
Akiwa mzima
Akiwa ktk nyakati zake ngumu
Akiwa tayari roho imeacha mwili.
Mkuu labda nikupe temporary email.Yaani MTU anaendelea kuwepo katika spiritual realm (ulimwengu wa roho)
Hata ukiwa kuna mambo unataka akujuze unaweza kujiungajisha nae .
Kuaga mwili wa marehemu ni utaratibu uliopo tu.
Unaweza kuamua kutomuaga marehemu Ila ikakuletea shida ,familia yake wakapata shida.
Binadamu huwa hafi Ila kinachokufa ni mwili wa nyama tu.
Kama unavyosema Jesus Christ au Mungu yakobo n.k means those guys are still alive in spiritual realm.
Even ur ancestors they are still alive in spiritual realm.
Ukisikia ur mama is gone or anybody who is closed to you nenda umuage wewe hauoni kuwa anaona Ila yeye anaona.
Na wewe tukuage kabisa mkuuMwanzoni mwa mwaka huu niliboresha mifumo yangu ya kijamii kwa kukitoa kipengere cha kumuaga marehemu mara ya mwisho kama ni kitu cha lazima kwangu. Sifanyi hicho kitu tena.
Naamini muda sahihi wa kumuaga mtu mara ya mwisho ni wakati akiwa hai, kama hutapata nafasi basi jitahidi kukumbuka mazuri yake inatosha.
Mtu akifa hajui kitu chochote. Kilio, unyenyekevu na huzuni unayoionyesha kwa maiti haimuhusu chochote muhusika wala haimuathili chochote. Vitu vivyo vinapaswa kufanyika akiwa katika hatua za mwisho.
Katika hili naungana na wayahudi na waislamu katika kutoaga kwa kuangalia sura ya maiti.
Faida ya huu utaratibu mpya kwangu, nimekuwa mwepesi sana kuwaona wagonjwa, watu wanaopitia nyakati ngumu hata kwa kupiga simu maana najua ndio muda wa thamani sana kwao maana ikitokea wamelala sinanafasi hiyo. Hivyo siwezi kuweka picha ya mtu aliyekufa status, au social media au kutembea na tshirt maana kwangu ni njia potofu ya kumkumbuka.
Natambua ni utaratibu mzuri kwa wanaoupenda ila kwa tukio la kupuuza kumuona rafiki yangu na jirani mgonjwa baada ya masaa mawili akafa na sikuwa na sababu ya msingi kutomuona nimeachana na utamaduni wa kuona maiti.
Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi.