Muda si mrefu dada zetu watahitaji mume zaidi ya mmoja ili angalau kukidhi haja ya tendo!!

Nakuaminia sana mkuu, mimi kama sina mia mfukoni hata niione inanitizama hapo sina kazi nayo🀣🀣🀣
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kwenye game siwazagi nina hela au sina, kikubwa niwe nimekula nimeshiba na mwanamke haja disturb mind yangu na makelele panapo kuwa hakuna mawe ndani.. kuna ile mwanamke anajua huna hela , alafu analetea mkeka wa bills.. hapo kama kakutusi lazima ilale tu .. ukigonga ujue we mmbishi sana.. Tunatakiwa kupiga show hata shetani akiwapitia wakitoka nje huko waone wanapoteza mda na michepuko.. wanarudi wenyewe njia kuu chap.. unyanyoosha hadi anakuwa bubu kwa mda 🀣🀣
 
Nitafute/tutafute pesa tu, tukizikosa tutaendelea kupiga chini ya kiwango. Japo kuna jamaa hapo kasema yeye amejitune hata kama hana mia anakula mzigo kama kawaida.
kanachopunguza ufanisi nk makelele ya wanawake.. kuna ile huna mawe wife anajua.. na ukifika anakuwa mfariji na kukupa moyo hadi shida unazisahau kama zipo.. huyo 6x6 unakipiga cha hatari.. hata kama huna mia mbovu..

ila kuna wale ukifika huna kitu anakusonya kwanza, alafu unapewa mkekaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

hata size ya kaboloo inapungua kananywea ndani
 
Upo sahihi mkuu, ila pesa ni kitu kingine kabisa. Kinaleta utulivu wa nafsi na mchemko wa damu🀣🀣
 
Mimi nanyandua nashukuru Mungu Kwa uumbaji wake wa mfumo wangu wa kunyandua mademu πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…