Muda si mrefu dada zetu watahitaji mume zaidi ya mmoja ili angalau kukidhi haja ya tendo!!


1. Kaangalie job descriptions ya Wanasanaa ikiwemo hao wanamuziki ndipo uandike. Hiyo hoja yako haina maana yoyote.
Ukishasema wanamuziki unazungumzia entertainment, Burudani, unazungumzia Sanaa. Usitake wanamuziki na wasanii WA filamu wawe kama Kada zingine.
Ni Sawa ushangae mwanamuziki au mwanamitindi kusuka ya kuchora mwili. Hiyo ni dalili ya ushamba, hujui kila kazi ina ethics zake.

2. Chips zinaliwa mijini tuu tena Kwa asilimia ndogo nazungumzia Kwa wale ambao ni mabachelor Kwa hiyo kitakwimu huwezi kusema hiyo itasababisha tatizo Kwa wanaume ilhali asilimia 70 ya Watu wanaishi Vijijini na Vijijini Watu hawali hizo chips. Kiutafiti ume-wrong.

3. Vilevi ni tatizo lakini sio kama ulivyoli- address hapa. Wanaokunywa hizo Kvant bado ni wachache ukilinganisha na idadi ya Watu.

4. Hoja Hii rejea hoja ya pili.
Mapishi na ulaji inatokana na jinsi MTU apendavyo.
Ungeongea kitaalamu Kwa kuzingatia mambo ya lishe ungeeleweka.
Lakini unavyoeleza ni kama MTU primitive.
Maendeleo hayaishii tuu kwenye vitu Bali pamoja na ulaji, vyakula na vinywaji.

5. Kupunguza Kwa tendo la ndoa ni Uongo. Sema tendo la ndoa Kwa sasa ni gharama hivyo Vijana wanapiga punyeto.
Kuhusu mambo ya Ndoa, inatokana na gharama za Maisha kupanda na Majukumu kama kusomesha Watoto, kununua majumba mazuri na magari. Zamani hayo yote haitakuwepo.

6. Zamani Maisha yalikuwa magumu kimwili lakini siku hizi ni magumu kiakili.
Tendo la ndoa linahusu zaidi mifumo ya ufahamu na damu.

Hoja yako ni mtanziko, inagongana Kwa sababu umeshasema Vijana wamekuwa kama Wanawake, kwamba wanaume wamepungua sasa itakuwaje wanawake wahitaji mwanaume zaidi ya mmoja ikiwa kuna upungufu wa wanaume?

Kitu kingine ambacho Watu wengi kama wewe hamuelewi ni kuwa Bao tatu hazimridhishi Mwanamke, unaweza kupiga bao mpaka kumi na bado Mwanamke asiridhike.
Kinachomfanya Mwanamke aridhike ni hisia zake juu yako, na namna unavyoweza Kutumia Viungo vya mwili wake.

Wewe ni wale mnaofikiri mwanaume akimwaga basi Mwanamke ndio anakojoa.
 
Hili suala kila mtu ana mtazamo wake.

By the way mimi mtazamo wangu uko kwenye kuwalaumu wanawake zaidi kuliko kuwalaumu wanaume.

Mfano : Kwenye upande wa wanaume, sawa life style, stress, ulaji wa vyakula n.k unaweza ukawa unachangia kuwa dhaifu kitandani.

Lakini kimsingi hayo yanatibika tena tiba yake ni ndogo sana haiitaji hata kumeza dawa.

Kwa sababu unabadilisha tu aina ya vyakula na kufanya mazoezi ya viungo, mpaka hapo utakuwa usha-solve asilimia 90 ya tatizo.

Hilo la stress sometime ni kujiendekeza tu mwenyewe, kwa sababu mimi naamini ukikubaliana na ukweli sidhani kama utawaza tena, badala ya ku-move foward wewe unawaza ya kazi gani sasa.

Unapitia hali ngumu ya maisha ndiyo, take it easy,kwani uko peke yako unayopitia hiyo hali ? Au itakuwa ya kudumu ? kuna vitu vingine chukulia kuwa vya kawaida kwamba hutokeaga tu maishani then move foward.


Mimi naamini matatizo yote ya nguvu za kiume yanatibika isipokuwa labda uwe umezaliwa nalo tu.

Ila kama hukuzaliwa nalo broo wewe jiangalie kuna mahali kidogo unakosea, hasa life style, vyakula, mazoezi ya viungo, kuendekeza stress.

Wala hata huitaji kunywa dawa, yanajitibu yenyewe automatic.

NIJE UPANDE WA WANAWAKE : Hawa kwa kiasi kikubwa ndiyo wanachangia wanaume wanaonekane hawawezi kazi kitandani.

Imagine mwanamke ameanza kuliwa tangu akiwa na miaka 14 au 15, then mpaka anafikisha umri wa kuolewa miaka 25-30, unafikiri atakuwa ashatembea na wanaume wangapi ?

Tufanye kati ya 20-50 na kila mwanaume ana saizi yake ya MKONGA, unadhani mwanamke huyu akijakuolewa na miaka hiyo 30 ataacha kumwambia mmewe kuwa ana kibamia ? au hawezi kazi ?

Mtu PAPUCHI yake ishakuwa sugu ameanza kuliwa tangu ama miaka 13 na asaume analiwa karibu kila wiki na wanaume ni tofauti tofauti mpaka aje aolewe ana miaka 30 unadhani ataacha kumwambia mmewe hawezi kitandaani au kibamia ?

TRUST ME, Kama kila mwanamke angeolewa akiwa bikra, sidhani kama ungeskia kuna mwanamke analalamika kwamba mmewe ana kibamia au hamridhishi
 
Na shule mpeleke kayumba ukimpeleka English Medium umemloteza huko wanalea watoto kama mayai
 
Wanaume wako bize kutafuta pesa...

Akija anampa kimoja, anamuacha...

Mwanamke anabakia na naniliu..
Hivi kukata kiu lazima mtu apigwe zaidi ya kimoja?!

Mtu anaweza pigwa kimoja cha viwango vya kimataifa kiu yote inayeyuka..!
 
Hivi kukata kiu lazima mtu apigwe zaidi ya kimoja?!

Mtu anaweza pigwa kimoja cha viwango vya kimataifa kiu yote inayeyuka..!
Wewe ndo unajua Cha viwango vya kimataifa...

Wenzio hawajui...
 
Hili suala hata mimi huwa nashindwa kulielewa. Kilele cha sex ni kupiga bao sasa kati ya mwanaume anaewahi na mwanamke anaechelewa au hafiki kabisa ni nani mwenye tatizo? Kinachoitwa upungufu wa nguvu za kiume kiuhalisia ilibidi itambulike kama upungufu wa nguvu za kike.
 
Tatizo Hz mambo zinapelekea vijana wanajiingiza katika mambo yasioleweka Ila ukijatambua huwez hangaika kabisa
 
Nimeshachapiwa sana kwa kujifanya kutaka kumridhisha mwanamke now nikiriidhika mimi inatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…