Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Mzee wiki iliyopita si ulileta uzi hapa namna gani Israel amepigika huko Gaza? Leo unajiliza nini tena shehe wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa aisee, Dunia imechafuka kabisa.Imeisha kabisa. Sasa katika dunia kila mwenye nguvu hataweza kuzuiwa kimahakama.
Dunia inaelekea kuwa uwanja wa fujo.
Hatushindani nani kapigika.Ilipofikia tunazungumzia ukatili na ushetani.Mzee wiki iliyopita si ulileta uzi hapa namna gani Israel amepigika huko Gaza? Leo unajiliza nini tena shehe wangu.
Enheheheheee..!!aaaahAcha uongo wewe wakati Hamas wanaichakaza vibaya mno Israel wewe unakuja na maneno yako hapa
Yaani ni kwamba hadi Israel ihakikishe imewafyeka Hamas vya kutosha kuhakikisha unyama wa Oct 7 haujirudii tenainachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.
Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.
Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.
Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.
Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande
An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza
Akili za waislamu bana!!, nadhani ni matokeo ya wanachokiisoma kwenye quruan yao tukufuKwani hao wapalestina na waarabu wanashindwa nini kuwaambia hamas wawaachilie hao mateka wa kiyahudi kadri wanavyoshikiliwa mateka ndio israel inapata kibali cha kuiponda ponda gaza cha msingi embu mateka waachiliwe maana wapalestina wanakufa kama kuku sioni faida ya kuwashikilia mateka 124 huku mnaendelea kuuawa
Sisi hayatuhusu maana wenyewe tuna yetu mengi tu tena zaid ya hayo.inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.
Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.
Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.
Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.
Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande
An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza
Kama hamas walivyoivamia israel october 7 nakuua wayahudi 1200Huwa ninachukizwa sana na binadamu ambao wanaona kwao ni jambo la kawaida tu kuua binadamu wenzao, kwa sababu zao tu za kibinafsi.
Yahaya Sinwar is the nextKhaaa Deif kawahishwa kuzimu kweli usigombane na myahudi hakika kisasi atalipa
Unyama gani kwanini Deif anajificha katika ya maraia wa gazaHatujadili habari za Mohammed Deif ambaye tangu hapo keshakufa mara kadhaa.Tunajadili unyama unaofanyika kupitiliza kwa kisingizio cha kumtafuta Deif.
Kuna utofauti kumbuka kati ya israel na urusi kumbuka israel alivamiwa na hamas na raia wake waliuawa na kutekwa na hamas october 7 hivyo israel ina haki ya kujilinda lakini urusi aliivamia ukraine kwa sababu za uwongo ambapo ukraine wala hajaichokoza urusiKabisa aisee, Dunia imechafuka kabisa.
Unyama wa Putin huko Ukraine unalaaniwa kweli kweli na wakubwa wa Dunia ila hapo Gaza unaambiwa Israel inajilinda.
Sure akiuwawa huyu Netanyau atafurahi sanaYahaya Sinwar is the next
Watu wapo toka 1947 halafu unasema uwaambie. Unataka uwaambie nini ? waislamu na waarabu wakazane na shule mbadala wa kushinda msikitini na swala tano. Waarabu wenyewe wanalindwa na Marekani. Saudia wanakoenda kuhiji Marekani ana kambi tano za kijeshi. Kuna kumpiga Israeli hapo ?inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.
Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.
Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.
Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.
Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande
An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza
Hao Israel hawapigani vita vita wameshindwa wanacho fanya ni genocide tu.Hatujadili habari za Mohammed Deif ambaye tangu hapo keshakufa mara kadhaa.Tunajadili unyama unaofanyika kupitiliza kwa kisingizio cha kumtafuta Deif.
Nyinyi islamists si mlikuwa mkisema Kamasi wanashinda hii vita! Sasa tulieni sindano iwaingie. Maana Israel waliisha anza kuondoka, raia wa Gaza wakawaruhusu Kamasi waanze tena kurusha Rocket kutokea makazi ya raiainachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.
Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.
Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.
Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.
Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande
An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza
Huyu shekhe ubwabwa noma sanaMzee wiki iliyopita si ulileta uzi hapa namna gani Israel amepigika huko Gaza? Leo unajiliza nini tena shehe wangu.