Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.

Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.

Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.

Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.

Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande

An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza

Waambie wapalestina waachie mateka
 
Nchi za kiarabu wananchi hawana shida tatizo hao viongozi, viongozi wananua silaha ni kwa ajili ya kupigana na wananchi wao, ndio sababu America anawauzia silaha zina cost mabillion, anajua wazi hizo silaha kwa ajili ya kumlinda Israel na viongozi wa nchi za kiarabu.

Nchi inayo pinga siasa za American inatafutiwa njia ya kusingiziwa kiongozi ni dictator anauwa wananchi zake au ana weapon of mass destruction.
 
Tulitahadharishwa kuhusu myahudi sasa nae agonga mwamba hakika uislam hautabadili msimamo juu ya kafiri yeyote huu ndio uislamu kifo ni haki na ni matarajio nimewaheshimu sana watu wa palestine hakika Subra ndio nguzo yetu kuu tulifunndishwa Na dini hii ni imara haina unyonge tungelegea toka mwanzo tungekua chini ya uyahudi au uislam uliochezewa hongera kwao kwani wanafia kwenye ardhi yao wayoamini ni ya kwao.
 
inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.

Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.

Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.

Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.

Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande

An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza

Wadau mm ni mkristo but One day nilijaribu kujielimisha kidogo juu ya demograph ya taifa la Israel....na nilishangaa kuona waislam ni wengi kuliko hata wakristo so nashindwaga kabsa kuelewa watu wanaowanasibisha vita vya Israel -palestina war na udini................
Mytake....... Hawa jamaa ugomvi wao source ni ardhi tuuuuu ........ maana km ni ukristo na uislamu inakuwaje waislamu wa kiyahudi kuwapiga wenzao wa kipalestina??????

Kwa ushahidi zaidi nendeni mkasome dini zilizopo Israel wikipidia.........
 
Acheni ugaidi na kulia lia kwa wakati moja,Ukiwa gaidi lazima ujikaze.
Kama muislam kutetea ardhi yake ni ugaidi naiwe hivyo kwa kila muislam kwani dini hairusu unyonge ndio maana mpaka leo tupo ni dini kubwa kwa kua tulipigana na vita vingi na makafiri ya Freemason na Illuminati wameshindwa kutubadili sasa wanatupakazia majina mabaya ya ugaidi ili tuchukiwe na kila mtu.. ila kivita walitamani
Kutufuta tangu enzi

Nyinyi mmekubali mila zao ndio maana wanawapangia muabudu vipi muishi vipi mupumuliane hayo yote mlikubali kwa uoga wenu au ujinga wenu na kupenda anasa za dunia akati yesu mwenyewe kaondoka masikini nyinyi tamaa tu
 
Wadau mm ni mkristo but One day nilijaribu kujielimisha kidogo juu ya demograph ya taifa la Israel....na nilishangaa kuona waislam ni wengi kuliko hata wakristo so nashindwaga kabsa kuelewa watu wanaowanasibisha vita vya Israel -palestina war na udini................
Mytake....... Hawa jamaa ugomvi wao source ni ardhi tuuuuu ........ maana km ni ukristo na uislamu inakuwaje waislamu wa kiyahudi kuwapiga wenzao wa kipalestina??????

Kwa ushahidi zaidi nendeni mkasome dini zilizopo Israel wikipidia.........
Jewish

According to the country's Central Bureau of Statistics (CBS) classification system (2021 data), approximately 73.8 percent of the population is Jewish, 18 percent Muslim, 1.9 percent Christian, and 1.6 percent Druze
 
leo tupo ni dini kubwa
Mna ukubwa gani?
wanatupakazia majina mabaya ya ugaidi ili tuchukiwe na kila mtu..
Unawafahamu isis,Boko Haram,alshabab?,hao ndio waislamu achana na ninyi hata kusoma kiarabu na Quran hata mimi mkristo nawashinda.nani awasingizie maana hata mafundisho yenu yamekaa kigaidi gaidi sana.
wanawapangia muabudu vipi
Hakuna wakutupangia namna ya kuabudu katika dunia hii
mupumuliane hayo yote mlikubali kwa uoga wenu au ujinga wenu
Hayo wanafanya waislamu wa mikoa ya pwani,wake kwa waume na ndio maana robo tatu za kesi za ushoga,kulawiti na kulawitiwa zinawahusu waislamu.badilikeni acheni ugaidi,ngada na ushoga.
 
Kuna taarifa huku mastermind Mohameid Deif aka paka mwenye roho saba pamoja na kamanda wa khan yunis wameuawa kwenye haya mashambulizi ya watu 71 waliokufa mbona mnaficha
Taarifa za umbea umepata wapi wewe dogo
Israhell anachoweza yeye kuua kina mama na watoto tu hapo ghaza hamas alishawashindwa muda mrefu sanaaa
 
Mna ukubwa gani?

Tazama index ya growth Islam religion utaelewa ni dini ya kubwa kiasi gani kati ya world population

Unawafahamu isis,Boko Haram,alshabab?,hao ndio waislamu achana na ninyi hata kusoma kiarabu na Quran hata mimi mkristo nawashinda.nani awasingizie maana hata mafundisho yenu yamekaa kigaidi gaidi sana.

Pole sana Uislam kumbe huujui kwahio kua bokko haramu ndio uislam, ingia darasani wew unishinde Quran. Ungekua unauijua Quran ungeweza kulitafsiri ugaidi ni nini

Hakuna wakutupangia namna ya kuabudu katika dunia hii

Papa anawapangia anachotaka na hamumufanyi kitu nyie oaneni tu

Hayo wanafanya waislamu wa mikoa ya pwani,wake kwa waume na ndio maana robo tatu za kesi za ushoga,kulawiti na kulawitiwa zinawahusu waislamu.badilikeni acheni ugaidi,ngada na ushoga.

Umeshasema waislamu sio uislam hapo akili ndogo itumike. Kwahio yule paroko aliyechinja alibino tuseme ni waroma ndio tabia zao,? Fikiri kwa mapana
 
Mna ukubwa gani?

Unawafahamu isis,Boko Haram,alshabab?,hao ndio waislamu achana na ninyi hata kusoma kiarabu na Quran hata mimi mkristo nawashinda.nani awasingizie maana hata mafundisho yenu yamekaa kigaidi gaidi sana.

Hakuna wakutupangia namna ya kuabudu katika dunia hii

Hayo wanafanya waislamu wa mikoa ya pwani,wake kwa waume na ndio maana robo tatu za kesi za ushoga,kulawiti na kulawitiwa zinawahusu waislamu.badilikeni acheni ugaidi,ngada na ushoga.
Ushapokea baraka kama alivyoagiza papa?
 
Ukiona wapelestina wamekusanyika kwa wingi sehemu flani ujue hapo Kuna viongozi wao au mateka.
Mmeokoa mateka wangapi mpaka sasa
Au wapalestina walijikusanya wengi sehemu nne tu mlipookoa wale magidi wanne waliotekwa
Mmeua viongozi wangapi wahamas mpaka sasa
Israhell anaweza kupigana nakin mama n watoto tu kwa hili anastahili kupewa hongera
 
Tatizo mwarabu ni kichwa maji. Hawezi kujinyenyekeza na kumuomba MSAMAHA 🇮🇱 kwa Uhalifu wa kivita aliouanzisha kwa kuteka watoto waliokuwa kwenye starehe na kuwaua wakiwemo Watanzania 2. Wao waliamini kwa maandalizi ya vifaa vya Iran na mahandaki waliokuwa wamechimba mahospitalini wangeliteketeza Taifa la Mungu Kwa wakati mfupi
Mungu hana taifa linalolea mashoga machoko na wasagaji
 
Watu wapo toka 1947 halafu unasema uwaambie. Unataka uwaambie nini ? waislamu na waarabu wakazane na shule mbadala wa kushinda msikitini na swala tano. Waarabu wenyewe wanalindwa na Marekani. Saudia wanakoenda kuhiji Marekani ana kambi tano za kijeshi. Kuna kumpiga Israeli hapo ?
Bora wanaokazana na swala tano kuliko mnaoenda kupeana baraka makanisani
Ushapata baraka?🤔
 
inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.

Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.

Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.

Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.

Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande

An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza

Siyo wewe uliyekuwa unatueleza kwamba "mayahudi" wameshindwa vita?
 
Nyinyi islamists si mlikuwa mkisema Kamasi wanashinda hii vita! Sasa tulieni sindano iwaingie. Maana Israel waliisha anza kuondoka, raia wa Gaza wakawaruhusu Kamasi waanze tena kurusha Rocket kutokea makazi ya raia
Nyie lgbtq+ mpaka sasa mmekomboa magaidi wenu wangapi
 
Back
Top Bottom