Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Muache kuporojaUtajibu kwenye maswali ya awali.InshaAllah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache kuporojaUtajibu kwenye maswali ya awali.InshaAllah.
Kama mie nnavyocheka hapa unavyopewa baraka😀Nacheka zaidi unavyoandika huku unapiga dufu na talawanda zako zilizotoboka kwenye visigino.🙏🤣🤣🤣🤣
Acheni uongouongo. Israel ilikuwepo kabla ya Palestina. Acheni uongo wenu ili muonewe hurumahuruma.Dawa ya mpuuzi kipindi fulani ni kipigo tu.Unapiga yeye hadi paka wake.Muache kuporoja
Barakatul unaweza kubarikiwa hata wewe ukitaka kugusisha komwe lako lipate sigida.Kama mie nnavyocheka hapa unavyopewa baraka😀
Huruma yanani😂😂😂Acheni uongouongo. Israel ilikuwepo kabla ya Palestina. Acheni uongo wenu ili muonewe hurumahuruma.Dawa ya mpuuzi kipindi fulani ni kipigo tu.Unapiga yeye hadi paka wake.
Kwahio ushapata baraka tayari?Barakatul unaweza kubarikiwa hata wewe ukitaka kugusisha komwe lako lipate sigida.
Tuliwaambia, October 17 mliposherehekea, mtalia hadi machozi yaishe. Hamkuamini.inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.
Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.
Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.
Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.
Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande
An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza
Umekazania mwaka 1948 utadhani maisha yalianza mwaka huo.Hivi wewe upo sawa kweli?Huruma yanani😂😂😂
Mwaka 1948 hua wanaadhimisha kuundwa kwa nini?
Hoja huna kapate baraka
Huu mwaka israhell lazima atatema bungo lazimaTuliwaambia, October 17 mliposherehekea, mtalia hadi machozi yaishe. Hamkuamini.
Tulieni Israel haijasahau kitendo kile. Mtalipia zaidi ya mlivyochokoza.
Waulize wanaoshangilia kuundwa kwa taifa lao mwaka huoUmekazania mwaka 1948 utadhani maisha yalianza mwaka huo.Hivi wewe upo sawa kweli?
Acha uzuzu.Israel haikuundwa huo mwaka wako.Ilikuwepo na ipo.Waulize wanaoshangilia kuundwa kwa taifa lao mwaka huo
Usinambie mimi wewe na wenye nchi yao ya wizi wanaoshangilia mwaka 48 wapi hawapo sawa?
Ndio maana papa anataka mubarikiwe nyieAcha uzuzu.Israel haikuundwa huo mwaka wako.Ilikuwepo na ipo.
Ni kweli anajilinda dhidi ya ugaidiKabisa aisee, Dunia imechafuka kabisa.
Unyama wa Putin huko Ukraine unalaaniwa kweli kweli na wakubwa wa Dunia ila hapo Gaza unaambiwa Israel inajilinda.
Si mmeisha waua! Sasa kichapo mtakipata mpaka Gaza ibaki mavumbi na huyo Shetani wenu Allah hana nguvu hizo za kuwakomboa; na kule Lebanon kila kukicha Hezibullah tunazidi kuangamiza viongozi wenu. Mlilieni shetani wenu awakomboeNyie lgbtq+ mpaka sasa mmekomboa magaidi wenu wangapi
Kesho uende na mwenzio mkapate barakaSi mmeisha waua! Sasa kichapo mtakipata mpaka Gaza ibaki mavumbi na huyo Shetani wenu Allah hana nguvu hizo za kuwakomboa; na kule Lebanon kila kukicha Hezibullah tunazidi kuangamiza viongozi wenu. Mlilieni shetani wenu awakomboe
Kwa hiyo,ukitulia na kufikiri kwa uzuzu wako uliopea viwango,unajua Israel "iliundwa" mwaka 1948?Jamaa zuzu wewe!Utakuwa umevaa nyanyapensi saa hizi unavuta uradi kwenye fensi ya masjid.😂😂😂😂Ndio maana papa anataka mubarikiwe nyie
Anajua kama anadili na misukule huko jumaapili
1948 ndio israhell ilitengenezwa uhishe kwakua jumaapilia group
Tulia Netanyahu apambane na magaidi. Unahorojoka nini?!Nchi za kiarabu wananchi hawana shida tatizo hao viongozi, viongozi wananua silaha ni kwa ajili ya kupigana na wananchi wao, ndio sababu America anawauzia silaha zina cost mabillion, anajua wazi hizo silaha kwa ajili ya kumlinda Israel na viongozi wa nchi za kiarabu.
Nchi inayo pinga siasa za American inatafutiwa njia ya kusingiziwa kiongozi ni dictator anauwa wananchi zake au ana weapon of mass destruction.
Ndio maana munauziwa papai laki tisa kwa hizi taka taka mlizojaza kwenye hayo marikitiKwa hiyo,ukitulia na kufikiri kwa uzuzu wako uliopea viwango,unajua Israel "iliundwa" mwaka 1948?Jamaa zuzu wewe!Utakuwa umevaa nyanyapensi saa hizi unavuta uradi kwenye fensi ya masjid.😂😂😂😂
Umechanganyikiwa?! Kunywa majiHakika tukivamiwa hapa Tanzania labda na wasudani natukauliwa kwa wingi na imani wakristo wote watakimbia nchi na kwenda uhamishoni tutabaki waislamu pekee yetu kwa dalili nazo ziona humu.