Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

Acheni uongouongo. Israel ilikuwepo kabla ya Palestina. Acheni uongo wenu ili muonewe hurumahuruma.Dawa ya mpuuzi kipindi fulani ni kipigo tu.Unapiga yeye hadi paka wake.
Huruma yanani😂😂😂
Mwaka 1948 hua wanaadhimisha kuundwa kwa nini?
Hoja huna kapate baraka
 
Mkuu dunia haina cha kufanya! US,UK na nchi za EU,Waarabu,Russia,China,nk zote hazina cha kufanya!
Ni mpaka Netanyahu atakapoamua mwenyewe kusimamisha vita!
 
inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.

Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.

Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.

Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.

Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande

An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza

Tuliwaambia, October 17 mliposherehekea, mtalia hadi machozi yaishe. Hamkuamini.

Tulieni Israel haijasahau kitendo kile. Mtalipia zaidi ya mlivyochokoza.
 
Tuliwaambia, October 17 mliposherehekea, mtalia hadi machozi yaishe. Hamkuamini.

Tulieni Israel haijasahau kitendo kile. Mtalipia zaidi ya mlivyochokoza.
Huu mwaka israhell lazima atatema bungo lazima
Kuua watoto hakutamsaidia lolote maadam wanaume wanapiga kazi kama kawaida
 
Umekazania mwaka 1948 utadhani maisha yalianza mwaka huo.Hivi wewe upo sawa kweli?
Waulize wanaoshangilia kuundwa kwa taifa lao mwaka huo
Usinambie mimi wewe na wenye nchi yao ya wizi wanaoshangilia mwaka 48 wapi hawapo sawa?
 
Kabisa aisee, Dunia imechafuka kabisa.

Unyama wa Putin huko Ukraine unalaaniwa kweli kweli na wakubwa wa Dunia ila hapo Gaza unaambiwa Israel inajilinda.
Ni kweli anajilinda dhidi ya ugaidi
 
Nyie lgbtq+ mpaka sasa mmekomboa magaidi wenu wangapi
Si mmeisha waua! Sasa kichapo mtakipata mpaka Gaza ibaki mavumbi na huyo Shetani wenu Allah hana nguvu hizo za kuwakomboa; na kule Lebanon kila kukicha Hezibullah tunazidi kuangamiza viongozi wenu. Mlilieni shetani wenu awakomboe
 
Si mmeisha waua! Sasa kichapo mtakipata mpaka Gaza ibaki mavumbi na huyo Shetani wenu Allah hana nguvu hizo za kuwakomboa; na kule Lebanon kila kukicha Hezibullah tunazidi kuangamiza viongozi wenu. Mlilieni shetani wenu awakomboe
Kesho uende na mwenzio mkapate baraka
Au uende ukanunue papae laki 7 ndio akili zenu zilipoishia hapa
 
Ndio maana papa anataka mubarikiwe nyie
Anajua kama anadili na misukule huko jumaapili
1948 ndio israhell ilitengenezwa uhishe kwakua jumaapilia group
Kwa hiyo,ukitulia na kufikiri kwa uzuzu wako uliopea viwango,unajua Israel "iliundwa" mwaka 1948?Jamaa zuzu wewe!Utakuwa umevaa nyanyapensi saa hizi unavuta uradi kwenye fensi ya masjid.😂😂😂😂
 
Nchi za kiarabu wananchi hawana shida tatizo hao viongozi, viongozi wananua silaha ni kwa ajili ya kupigana na wananchi wao, ndio sababu America anawauzia silaha zina cost mabillion, anajua wazi hizo silaha kwa ajili ya kumlinda Israel na viongozi wa nchi za kiarabu.

Nchi inayo pinga siasa za American inatafutiwa njia ya kusingiziwa kiongozi ni dictator anauwa wananchi zake au ana weapon of mass destruction.
Tulia Netanyahu apambane na magaidi. Unahorojoka nini?!
Au umesahau Hamas waliua Watanzania wenzetu bila hatia?
 
Kwa hiyo,ukitulia na kufikiri kwa uzuzu wako uliopea viwango,unajua Israel "iliundwa" mwaka 1948?Jamaa zuzu wewe!Utakuwa umevaa nyanyapensi saa hizi unavuta uradi kwenye fensi ya masjid.😂😂😂😂
Ndio maana munauziwa papai laki tisa kwa hizi taka taka mlizojaza kwenye hayo marikiti
Baraka ushapewa ?
 
Back
Top Bottom