Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ushapata baraka kama alivyowaamrisha papa wenu ?Hata unachosema hakieleweki hebu soma tena uone ulichoandika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushapata baraka kama alivyowaamrisha papa wenu ?Hata unachosema hakieleweki hebu soma tena uone ulichoandika.
Hamas maelfu wameshapelekwa jongomeo na ndio maana kwasasa hata jiwe halilushwi ndani ya mipaka ya taifa teule la Mungu.Mmeokoa mateka wangapi mpaka sasa
Au wapalestina walijikusanya wengi sehemu nne tu mlipookoa wale magidi wanne waliotekwa
Mmeua viongozi wangapi wahamas mpaka sasa
Israhell anaweza kupigana nakin mama n watoto tu kwa hili anastahili kupewa hongera
Waambie mossad wakakomboe magaidi wao waliotekwa na wanaume kama wao kweli ni ma lgbtq+ yalokomaaWaambie wapalestina waachie mateka
Nenda kapate weweUshapata baraka kama alivyowaamrisha papa wenu ?
Jumatatu ilopita watu wameshambulia huko kwa lgbtq+ nation tena kutokea hapo hapo khano younisHamas maelfu wameshapelekwa jongomeo na ndio maana kwasasa hata jiwe halilushwi ndani ya mipaka ya taifa teule la Mungu.
Unabishana na papaNenda kapate wewe
Ulongo mtupu,dozi waliyopewa Hamas hawatarudia tena upumbavu waliofanya miaka 100 ijayo.Jumatatu ilopita watu wameshambulia huko kwa lgbtq+ nation tena kutokea hapo hapo khano younis
Jiwe haliruhusiwi? Sema tukuonyeshe hizbollah anavyowafagia huku anarekodi live mashoga wanavyokata moto kama unajua kiarabu njoo dm upewe link mujarab ya telegram tu hizo nyingine utapotea mazayuni maongo kishenzi yanapelekwa kuzimu kila dk tena wahuni wanarekodiHamas maelfu wameshapelekwa jongomeo na ndio maana kwasasa hata jiwe halilushwi ndani ya mipaka ya taifa teule la Mungu.
Endelea kuimba ngonjeraUlongo mtupu,dozi waliyopewa Hamas hawatarudia tena upumbavu waliofanya miaka 100 ijayo.
Jamaa huwa unajifariji kama jina lako huku wenzako wanapokea kipondo cha hatari.Mkipata muda muwe mnawaambia waache kuwachokoza vichaa.😂😂😂Endelea kuimba ngonjera
Israhell anapigana na watoto hawa hawatarudia kweli
Ila hamas wapo wapo sana kama mnaweza kawatoeni magaidi wenu waliotekwa😂😂😂
Kama unavyojifariji wewe 😀?Jamaa huwa unajifariji kama jina lako huku wenzako wanapokea kipondo cha hatari.Mkipata muda muwe mnawaambia waache kuwachokoza vichaa.😂😂😂
Palestina iliwahi kuwa wapi kabla ya Israel?Kunywa maji urudishe ubongo.Nani alianza kuwepo kati ya Israel na Palestina?Nani aliwatuma israhell kuvamia na kuzikalia ardhi za oalestina mwaka 1948?
Nakucheka unavyoandika vijiporojo.🤣🤣🤣🙏Kama unavyojifariji wewe 😀?
Kabla ya mwaka 1948 israhell ilikua wapi?Palestina iliwahi kuwa wapi kabla ya Israel?Kunywa maji urudishe ubongo.Nani alianza kuwepo kati ya Israel na Palestina?
Nakucheka unavyoandika utotoNakucheka unavyoandika vijiporojo.🤣🤣🤣🙏
Na kabla ya 1948 hakukuwa na taifa la Israeli?Lilikuwa wapi hapo middle east?Acheni kujichetua akili kama mmeshiba uji wa ulezi wenye pilipili manga!🤣🤣🤣🤣Kabla ya mwaka 1948 israhell ilikua wapi?
Utajibu kwenye maswali ya awali.InshaAllah.Kabla ya mwaka 1948 israhell ilikua wapi?
Wewe usiojichetua umeshindwa kujibu swaliNa kabla ya 1948 hakukuwa na taifa la Israeli?Lilikuwa wapi hapo middle east?Acheni kujichetua akili kama mmeshiba uji wa ulezi wenye pilipili manga!🤣🤣🤣🤣
Nacheka zaidi unavyoandika huku unapiga dufu na talawanda zako zilizotoboka kwenye visigino.🙏🤣🤣🤣🤣Nakucheka unavyoandika utoto