Muda umefika wajumbe wa nyumba kumi wapatikane kwa kushindanisha vyama vyote kama ilivyo kwa viongozi wa mtaa, Kijiji na kitongoji

Muda umefika wajumbe wa nyumba kumi wapatikane kwa kushindanisha vyama vyote kama ilivyo kwa viongozi wa mtaa, Kijiji na kitongoji

Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.

Au mnaonaje??
chadema watumie wenyeviti wa kanda maana mtaani hawana wawakilishi sasa. Hao mabalozi ni wa CCM na si vinginevyo 🐒
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.

Au mnaonaje??
Sijawahi kupeleka hizo barua na mara kadhaa nimeuliza wanatambuliwa kwenye kifungu gani cha Katiba, hakuna aliyejibu na kiukweli nahudumiwa bila huo ujinga
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.

Au mnaonaje??
Mkuu, una hoja ya msingi sana kuna mitaa, wana kaya wake 80% si wa Chama tawala lakini Balozi wao ni chama kilichopo madarakani, hii inaleta ukakasi sana na mtaa kudumaa katika maendeleo yake.
 
Mkuu, una hoja ya msingi sana kuna mitaa, wana kaya wake 80% si wa Chama tawala lakini Balozi wao ni chama kilichopo madarakani, hii inaleta ukakasi sana na mtaa kudumaa katika maendeleo yake.
Kabisaa
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.

Au mnaonaje??
Hao mabalozi na wao mtawalipa ?
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.

Au mnaonaje??
Katiba yetu haimtambui mjumbe wa nyumba kumi na mimi hawezi niendesha huyo...kwann sio barua ya serikali ya mtaa? Tusomeni katiba.
 
Katiba yetu haimtambui mjumbe wa nyumba kumi na mimi hawezi niendesha huyo...kwann sio barua ya serikali ya mtaa? Tusomeni katiba.
Kuna mitaa kama mwenywkiti ni wa CCM basi analazimisha barua ya balozi wa nyumba kumi,lengo ni kupeana ulaji,maana muhuri huku nilipo ni elfu mbili,katiba haiwatambui ila wana umuhimu sana,mimi mtaa wangu mwenyekiti hanijui maana tuko wengi,ila balozi wangu ananitambua bayana
 
Kugonga muhuri barua yeypte 2000,mkiuziana kiwanja,shamba au nyumba kuna percent anakula ndio malipo yao
Balozi hana muhuri, mwenyekiti wa mtaa ndio mwenye muhuri
 
Kuna mitaa kama mwenywkiti ni wa CCM basi analazimisha barua ya balozi wa nyumba kumi,lengo ni kupeana ulaji,maana muhuri huku nilipo ni elfu mbili,katiba haiwatambui ila wana umuhimu sana,mimi mtaa wangu mwenyekiti hanijui maana tuko wengi,ila balozi wangu ananitambua bayana
Upo sahihi,nilichotaka watu wafahamu wajumbe wa nyumba kumi katiba haiwatambui ispokuwa wapo kwa ihsan za wananchi wa nyumba husika.Hivyo kwa kutambua hilo hata shida inayo hitaji pesa mnatakiwa mpange wote na huyo mjumbe nje ya hapo itakuwa ni wizi na upuuzi mkubwa na mimi huwa hawana cha kunifanya waking'aka namwambia nipeleke mahakamani nikamuabishie huko kwa aibu nzito.
 
Balozi hana muhuri, mwenyekiti wa mtaa ndio mwenye muhuri
Anao muhuri wa CCM,unaishi waoi ndugu yangu,tunataka huo muhuri usiwe wa CCM bali wa local government
 
Balozi ndio mtu wa kwanza anayefahamu wananchi wake wanaomzunguka .. System yote ya serikali na sekta binafsi inawatambua.. wewe unayesema hawapo kwenye katiba na ukienda serikali ya mtaa unahudumiwa vizuri wanakuchekea wanaokuhudumia mm ukija kwangu huna barua kutoka kwa balozi sikusaidii chochote na nenda popote unapotaka ata ..mahakaman kwenyewe bila barua ya balozi upati dhamana..
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa kete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hspo huwa inaleta ukakasi,maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote,katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi

Au mnaonaje??

Hao wako kwenye muundo wa CCM, sio wa Chadema, na nyie Chadema undeni muundo wenu.
ukiwa na maana wakazi wote ni wanachama wa CCM
 
Back
Top Bottom