Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chadema watumie wenyeviti wa kanda maana mtaani hawana wawakilishi sasa. Hao mabalozi ni wa CCM na si vinginevyo 🐒Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.
Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.
Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.
Au mnaonaje??
ndiyo Mzee wa mihemko na makasiriko. Lakin ni muhimu ukaacha ushirikina bas itakusaidi sana 🐒Uwezo wako umeishia hapo,asante kushiriki
Sijawahi kupeleka hizo barua na mara kadhaa nimeuliza wanatambuliwa kwenye kifungu gani cha Katiba, hakuna aliyejibu na kiukweli nahudumiwa bila huo ujingaKuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.
Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.
Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.
Au mnaonaje??
Mkuu, una hoja ya msingi sana kuna mitaa, wana kaya wake 80% si wa Chama tawala lakini Balozi wao ni chama kilichopo madarakani, hii inaleta ukakasi sana na mtaa kudumaa katika maendeleo yake.Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.
Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.
Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.
Au mnaonaje??
Siyo kweliKwanza ifutwe maana hawana umuhimu wowote
Umhimu wao nini?Siyo kweli
Hao mabalozi na wao mtawalipa ?Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.
Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.
Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.
Au mnaonaje??
Katiba yetu haimtambui mjumbe wa nyumba kumi na mimi hawezi niendesha huyo...kwann sio barua ya serikali ya mtaa? Tusomeni katiba.Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.
Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.
Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.
Au mnaonaje??
Kuna mitaa kama mwenywkiti ni wa CCM basi analazimisha barua ya balozi wa nyumba kumi,lengo ni kupeana ulaji,maana muhuri huku nilipo ni elfu mbili,katiba haiwatambui ila wana umuhimu sana,mimi mtaa wangu mwenyekiti hanijui maana tuko wengi,ila balozi wangu ananitambua bayanaKatiba yetu haimtambui mjumbe wa nyumba kumi na mimi hawezi niendesha huyo...kwann sio barua ya serikali ya mtaa? Tusomeni katiba.
Balozi hana muhuri, mwenyekiti wa mtaa ndio mwenye muhuriKugonga muhuri barua yeypte 2000,mkiuziana kiwanja,shamba au nyumba kuna percent anakula ndio malipo yao
Upo sahihi,nilichotaka watu wafahamu wajumbe wa nyumba kumi katiba haiwatambui ispokuwa wapo kwa ihsan za wananchi wa nyumba husika.Hivyo kwa kutambua hilo hata shida inayo hitaji pesa mnatakiwa mpange wote na huyo mjumbe nje ya hapo itakuwa ni wizi na upuuzi mkubwa na mimi huwa hawana cha kunifanya waking'aka namwambia nipeleke mahakamani nikamuabishie huko kwa aibu nzito.Kuna mitaa kama mwenywkiti ni wa CCM basi analazimisha barua ya balozi wa nyumba kumi,lengo ni kupeana ulaji,maana muhuri huku nilipo ni elfu mbili,katiba haiwatambui ila wana umuhimu sana,mimi mtaa wangu mwenyekiti hanijui maana tuko wengi,ila balozi wangu ananitambua bayana
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa kete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.
Hspo huwa inaleta ukakasi,maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.
Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote,katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi
Au mnaonaje??
ukiwa na maana wakazi wote ni wanachama wa CCMHao wako kwenye muundo wa CCM, sio wa Chadema, na nyie Chadema undeni muundo wenu.