Jamani si kweli kyfungwa kwa babu seya JK anausika waliwanajisi kweli na laiti wewe yngekuwa wewe umefanyiwa ungeomba wewe ndio umsamehe kwanza na sio rais ambaye watu wamemsingizia.Mimi nilukuwa nakaa jirani nao na walukuwa wanaingiza hao watoto na kuwafanyia mambo ya kishenzi kwa kuagizwa na mganga wa kuenyeji ili mambo yao yanyooke.Kama anamsingizia JK atoke adharani au aandike kwa haki za binadam wamtetee.Hata hivyo ungekuta kaonewa ungekuta akina Lissu na wenzake walishaibebea bango.Mimi JK sio baba yangu wala sio nini ila watu wanajua kusema vitu wasivyovijua