Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwetu ni undumilakuwili sasa kwenu ni nini mkuu :A S wink::A S wink:
Kwetu ni umbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu ni undumilakuwili sasa kwenu ni nini mkuu :A S wink::A S wink:
Hivi ni kweli walitafuna hizo 0713 za watoto?
Nikweli kabisa mm mwenyewe katika uchunguzi wangu wote wa siri za serikali kwa hili nimeshindwa
Kufuatilia mwenendo wa kesi kwa karibu hakumaanishi kila kinachosemwa ni chakweli ndugu yangu ndio maana magereza yamejaa walalahoi, hii haimaanishi wao ndio wakosaji. TafakariAmina. Umesema yote na mimi nafahamu hivyo, hawasingiziwi hata tone. Wanaodai eti hao wahalifu wamesingiziwa hawakufuatilia mwenendo wa kesi ile. Ilionekana dhahiri walifanya na kwa vitendo vile ingefaa wanyongwe kabisa. Hivi mtoto wako afanyiwe vitendo kama vile halafu usikie Rais wako eti kamsamehe utajisikiaje?
Huenda ccm wakashindwa kuyazui ila sanduku la kura litayaelekeza bahari.kwahiyo raisi nani.mafuriko ya lowasa hayazuiliki
Kumbe unakaa nje ya dar, ndio maana hujui dunia inaendaje utakaa kila kitu kusimuliwa, mimi aliyefanyiw ni mmoja wa familia yangu, ni mtt wangu sasa niache niongee ukweli tunauchungu kama wazazi na kitendo alichofanyiwa mtt wetu na hujui nina uchungu kiasi gani, naomba kwa Mungu na wewe siku moja yakupate usijie uchungu wake.