Muda umeisha, Babu Seya ndio basi tena?

Acha wafie huko huko kwa ule unyama.

Nendeni mkamuulize. Mwanaharakati Ananilea Nkya
 
Kufuatilia mwenendo wa kesi kwa karibu hakumaanishi kila kinachosemwa ni chakweli ndugu yangu ndio maana magereza yamejaa walalahoi, hii haimaanishi wao ndio wakosaji. Tafakari
 

Mbona hamfunguki wenye watoto waliobakwa mnabaki kusema mnamachungu? Funguka siku ya tukio ilikuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…