Muda upi ni sahihi kwa mume kurudi nyumbani?

Muda upi ni sahihi kwa mume kurudi nyumbani?

Usijipangie mda maalum wa kurudi nyumban, bali weka kanuni za jinsi unataka familia yako iwe hapo hapo utajikuta unajua mda wa kurudi home ni upi
Mfano: chakula cha usiku ni lazma tushiriki familia nzima kwa wakat mmoja na mda wa kula usizidi saa mbili na nusu usiku, sitoki nyumban kama sina jambo lenye maana huko mitaan, nk

Alaf kama umeamua kuishi na mtu kama mme na mke jua upo chin yake na yeye chin yako jitaidi kumpa kipaumbele zaidi kuliko vitu visivyo na manufaa kwako
Nimekupata vema mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nyumbani naingia saa 19:30/20:15 hakuna wa kunipangia upo wakati nachelewa kutokana na sababu maalumu vikao vya kijamii dharura za kikazi etc but ni mara chache sana kutokea.

Kama kazi yako inakuruhusu kuingia home saa 19:00 nenda mambo yakuambiana sijui mwanaume unaendaje nyumbani mapema siku hizi hayapo wahi piga story na mkeo au wahi pata muda wa kucheza na wanao kabla hawajalala maana wanaweza wakaamka kesho hawana baba baba alipigwa chupa ya kichwa bar alikopita kuchelewa kuwahi nyumbani.
Nimekusoma mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... amekuwa daily akinihimiza nimuoe basi nimeamua nije kwa marafiki zangu, wanangu wanaJamiiforums nije kuchota maarifa ya ndoa mdogomdogo nikishapima nina imani nitakuwa tayari nina maamuzi juu yake.......
Kwahiyo braza Kwa akili zako timamu UMEAMUA KUOA..!!
😳😳😳😳
Yaani bila kushinikizwa na yeyotee umeamua KUZITAFUTA SHIDA ZILIPO LALA?

Nacheka "Hiiii bagoshaaaaa" in JPM's voice.

#YNWA
 
Rudi mapema upte muda wa kutulia na mkeo mchakatuane na kucheza kimahaba, plus kupanga mambo ya maendeleo.
 
Tafuta hela bwege ww, huyo tunammega kilaini tu huku mtaani.
 
Swali kwa leo, ni upi muda sahihi wa mume kurudi nyumbani? (ili ndoa iwe ni yenye kunawili)
Kabla hakujaanza kupambazuka, au amechelewa saana basi iwe angalau saa 11:30 alfajiri.

Una lingine?
 
Back
Top Bottom