Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
- Thread starter
- #41
[emoji23][emoji23].Tafuta hela bwege ww,huyo tunammega kilaini tu huku mtaani.
Saw mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23].Tafuta hela bwege ww,huyo tunammega kilaini tu huku mtaani.
Hakuna la zaid mkuuKabla hakujaanza kupambazuka, au amechelewa saana basi iwe angalau saa 11:30 alfajiri.
Una lingine?
Muda mzuri kurudi nyumbani baada ya kuwowa ni saa saba mchana, hapo utafurahia ndoa mnooooSalaam wanaJamiiforums
Kwakuwa ndugu bwana Fene huyu manzi mkali nilie nae mtoto shombeshombe aliekuwa hasikii haoni kwangu amekuwa daily akinihimiza nimuoe basi nimeamua nije kwa marafiki zangu, wanangu wanaJamiiforums nije kuchota maarifa ya ndoa mdogomdogo nikishapima nina imani nitakuwa tayari nina maamuzi juu yake
Swali kwa leo, ni upi muda sahihi wa mume kurudi nyumbani? (ili ndoa iwe ni yenye kunawili)
Kwenu wakubwa wangu na wadogo zangu sote kwa pamoja tujifunzeView attachment 2116493
Sent using Jamii Forums mobile app
Excellent...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama hata muda wa kurudi kwako unataka upangiwe na wana jf achana na NDOA dogo we suuza rungu tu
Ikiwa ww ni muislam unatakiwa kurudi nyumbani kabla ya saa 2 ucku. Japo kuna dhalula inaweza ikakufanya uchelewe zaidi ya hapo, muda unaomaliza kazi , umbali kutoka kazini hadi nyumbani , foleni barabalani lkn kama huna ch muhimu , kupiga soga na marafiki, kupitia bar nk rudi kabla ya muda huu na unaswali insha na mke wako inapendeza zaidSalaam wanaJamiiforums
Kwakuwa ndugu bwana Fene huyu manzi mkali nilie nae mtoto shombeshombe aliekuwa hasikii haoni kwangu amekuwa daily akinihimiza nimuoe basi nimeamua nije kwa marafiki zangu, wanangu wanaJamiiforums nije kuchota maarifa ya ndoa mdogomdogo nikishapima nina imani nitakuwa tayari nina maamuzi juu yake
Swali kwa leo, ni upi muda sahihi wa mume kurudi nyumbani? (ili ndoa iwe ni yenye kunawili)
Kwenu wakubwa wangu na wadogo zangu sote kwa pamoja tujifunzeView attachment 2116493
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekaa vizuri sana.Ikiwa ww ni muislam unatakiwa kurudi nyumbani kabla ya saa 2 ucku. Japo kuna dhalula inaweza ikakufanya uchelewe zaidi ya hapo, muda unaomaliza kazi , umbali kutoka kazini hadi nyumbani , foleni barabalani lkn kama huna ch muhimu , kupiga soga na marafiki, kupitia bar nk rudi kabla ya muda huu na unaswali insha na mke wako inapendeza zaid
Kwel kbsUtiifu na kupendana ni muhimu.. mke inabidi amtii na kumpenda mmewe na hivyo hivyo kwa mme.. so mda wowote ataoamua kurudi mme .. mke inabidi atii ili asianzishe migogoro ndoani
Napenda niingie ktk ndoa nikiwa full experiencedHahahaaa. Ila mleta uzi bana yaani unauliza swali huku hata hiyo ndoa yenyewe huna. Lol
Mmh. Nikupe siri ndoa huwa haijifunzwi ukiwa nje.
Nahic nikiingia na viji-theory vya ndoa itakuwa na nafuu kuliko kuingia mtupuMmh. Nikupe siri ndoa huwa haijifunzwi ukiwa nje.
Kila la kheri Mkuu.Nahic nikiingia na viji-theory vya ndoa itakuwa na nafuu kuliko kuingia mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hivyo wacha tuendeleeze utoto ili tugeggedage bila kuwowa.bora kuliko kuwa na mwenye utoto wake ndoani