Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Uno la uhakikaBora umemuaga maana anaenda kutana heavything
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uno la uhakikaBora umemuaga maana anaenda kutana heavything
Duh! Hat saa sita mchana mkuuUkimaliza kazi rudi nyumbani hata kama ni saa sita mchana rudi kwa mkeo kwanza.
Imekaa vizuri, mwendo wa mahaba niue tuSaa 12 jioni na kutoka hadi asubuh full stop
Kazin kwenda saa ngap?Rudi saa nne usiku badili nguo ,nenda kaangalie mpira mpaka saa11 alfajiri ndo urudi kulala mkuu
acha kama India vile
Nyumba yenyewe mmepanga watu 6 na bafu mnatumia moja mmmmKabisa...ukifika tuu tupa laki mbili mezani hapo alafu huyo sepa zako kuoga. Utashanga mbususu unaletewa huko bafuni
Sema hata wewe, mlinzi karudi asubuhi anatakiwa kupumzika ili jioni arudi mzigoni , kwahiyo hapo sijui wanamwambie apitie wapi!Sasa si mpaka uwe na dili la maana. Wewe ni mlinzi umebahatika kuwa na demu mzuri mkwanja wa kutosha huna . Hapo vp?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wanaoa jamani msiwadharauHamnaga kitu kama hicho yaani mlinzi upate pisi kali....siamini. hizi hizi pisi kali zinazotaka kuonekana na iphone mara wapo samaki samaki
Tuonyeshe japo watatu
[emoji3][emoji3][emoji3] sasa kama umemaliza kazi huwezi kurudi nyumbani? Kurudi nyumbani nako kuna baraka si wanawake wote wanagubu na midomo mnunio, wengine baba akiwa nyumbani ni full shangwe!
Kuna watu nawafahamu mtu na mkewe na huwezi jua kama Mme ni Askari sugu, kuoa pisi kali si mpaka uwe na mihela, kuna watu wanapesa hao ukionyeshwa mkewe utashangaa huyu bwana vepeee alitafutiwa nini! Sio pisi kali wote ni after money hapana!Tuonyeshe japo watatu
Yaani una hela alafu mke sio pisi kali..hayo ni matumizi mabaya ya pesaKuna watu nawafahamu mtu na mkewe na huwezi jua kama Mme ni Askari sugu, kuoa pisi kali si mpaka uwe na mihela, kuna watu wanapesa hao ukionyeshwa mkewe utashangaa huyu bwana vepeee alitafutiwa nini! Sio pisi kali wote ni after money hapana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmm kwahiyo wenye sura za Baba zao waliye tuYaani una hela alafu mke sio pisi kali..hayo ni matumizi mabaya ya pesa
Wao walie tuu kama sie ambao sio mabilionea tunavyolia tunapo waona pisi kali kwenye ile thread ya wanawake warembo....tunaishia kunyetuka tuu kwa picha zao