February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
inategemea na kazi..kama ni mlinzi unataka arudi saangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani yeye akiona huu muda unafaa arudiSalaam wanaJamiiforums
Kwakuwa ndugu bwana Fene huyu manzi mkali nilie nae mtoto shombeshombe aliekuwa hasikii haoni kwangu amekuwa daily akinihimiza nimuoe basi nimeamua nije kwa marafiki zangu, wanangu wanaJamiiforums nije kuchota maarifa ya ndoa mdogomdogo nikishapima nina imani nitakuwa tayari nina maamuzi juu yake
Swali kwa leo, ni upi muda sahihi wa mume kurudi nyumbani? (ili ndoa iwe ni yenye kunawili)
Kwenu wakubwa wangu na wadogo zangu sote kwa pamoja tujifunze
time will tell utoto unaishaKama hivyo wacha tuendeleeze utoto ili tugeggedage bila kuwowa.
Lakini sasa huoni kuwa watagegeda wengi hiyo mbususu
Hahaha utoto haishi wewe vibabu vya miaka 80 vinafia kwa guest. Nyumbani ni nyumbani tuu lazima turudi pale kati tulipotokeatime will tell utoto unaisha
Ni mlo wa usiku sio chakula cha usiku.Muda wa kazi unapoisha rudi nyumban, kama kuna ratiba zingine zitakazo kuchelewesha toa taarifa mapema kuondoa tafrani ndani ya nyumba na maswali yasiyo na msingi. Pia ni muhimu sana kushiriki chakula cha usiku na mkeo au wanao.
wabishi ndowanakoishia maana mshahara wa dhambi ni mauti....imagine umetengeneza reputation yako kwa mda wote huo afu unaenda kufa kifo chaaibu juu ya kifua cha mtoto mbichiHahaha utoto haishi wewe vibabu vya miaka 80 vinafia kwa guest. Nyumbani ni nyumbani tuu lazima turudi pale kati tulipotokea
Sasa wewe umeshakufa hayo watakayowaza waliobaki watajua wenyewe cha msingi umefia kwenye utamu wa mbususuwabishi ndowanakoishia maana mshahara wa dhambi ni mauti....imagine umetengeneza reputation yako kwa mda wote huo afu unaenda kufa kifo chaaibu juu ya kifua cha mtoto mbichi
Salaam wanaJamiiforums
Kwakuwa ndugu bwana Fene huyu manzi mkali nilie nae mtoto shombeshombe aliekuwa hasikii haoni kwangu amekuwa daily akinihimiza nimuoe basi nimeamua nije kwa marafiki zangu, wanangu wanaJamiiforums nije kuchota maarifa ya ndoa mdogomdogo nikishapima nina imani nitakuwa tayari nina maamuzi juu yake
Swali kwa leo, ni upi muda sahihi wa mume kurudi nyumbani? (ili ndoa iwe ni yenye kunawili)
Kwenu wakubwa wangu na wadogo zangu sote kwa pamoja tujifunze
Ndio Maana Vichwa Maji Hizi Ndoa Zinatuvuruga Tu.[emoji23]Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
Kabisa[emoji1787][emoji1787]Ndio Maana Vichwa Maji Hizi Ndoa Zinatuvuruga Tu.[emoji23]