Muda upi ni sahihi kwa mume kurudi nyumbani?

Nimekupata vema mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusoma mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... amekuwa daily akinihimiza nimuoe basi nimeamua nije kwa marafiki zangu, wanangu wanaJamiiforums nije kuchota maarifa ya ndoa mdogomdogo nikishapima nina imani nitakuwa tayari nina maamuzi juu yake.......
Kwahiyo braza Kwa akili zako timamu UMEAMUA KUOA..!!
😳😳😳😳
Yaani bila kushinikizwa na yeyotee umeamua KUZITAFUTA SHIDA ZILIPO LALA?

Nacheka "Hiiii bagoshaaaaa" in JPM's voice.

#YNWA
 
Rudi mapema upte muda wa kutulia na mkeo mchakatuane na kucheza kimahaba, plus kupanga mambo ya maendeleo.
 
Tafuta hela bwege ww, huyo tunammega kilaini tu huku mtaani.
 
Swali kwa leo, ni upi muda sahihi wa mume kurudi nyumbani? (ili ndoa iwe ni yenye kunawili)
Kabla hakujaanza kupambazuka, au amechelewa saana basi iwe angalau saa 11:30 alfajiri.

Una lingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…