Muda wa hatua ya mabadiliko ni sasa

Muda wa hatua ya mabadiliko ni sasa

Mkuu, uliisoma sehemu hii topic ukaja nayo nzima nzima?

Au ni mawazo yako tu ya busara umeamua leo kutufundisha?

Lakini je yanatoka katika oblongata ya mtu mwenye umri gani?

Kama ni mzee, naweza nikakupa hongera kwa tafakuri iliyo njema, ni madini yanayoweza kusaidia kizazi kijacho.

Lakini kama ni kijana, nitasema wewe ni mwalimu wa nadharia tu ambaye hauwezi kuyaishi unayoyafundisha leo, labda waweza kuyatekeleza kwa kiwango cha chini na cha mwisho kabisa, tena kwa uangalizi wa watu wengine.

Kwa nini nimesema hivyo?

Kwa uzoefu wangu, ulivyoanza kulaani ngono zembe tu, nikakunasa na kukunasa!

Hii ilishaga kuwa ni filosofi ama catch word ya kutumiwa na ma lecturer wanapotoa lacture zao, huwa lazima waanze kwanza kulaani uzinzi na starehe zingine ili kuivuta attention ya hadhira!

Lazima uelewe kwamba, mambo hayo ya uzinzi na pombe ni starehe za majority wenye kila aina ya daraja la maisha.

Na kwa vile wengi tunaishi katika jamii ya kinafiki, mambo hayo hufanywa kwa kificho kikubwa sana.

Si kweli kwamba kila afanyaye hayo ni lofa na nimaskini asiyefikia malengo yake ya mafanikio, hapana, ni uongo.

Hivyo unapotoa lactures zako, ni vema mambo hayo ukayaelezea kwa namna ya staha kubwa itakayowafurahisha rika zote, maskini na matajiri kwa kuwa jamii nzima huishi kwa kufanya matendo hayo kwa uwazi ama kwa kificho.

Na kingine mnachofeli ninyi wahadhiri, huwa ni kupenda kuyafanya na kuyahusudu mambo hayo hayo ambayo ninyi mnayalaani na kuwaasa jamii waachane nayo kwa mustakabali wa ustawi wao.
 
Ni kwel mkuu , tatzo kichwa cha chini kinadhibitiwaje mkuu, kwangu mimi sihitaji hayo yote ,nikiweza hili naingia uchumi wa kati mkuu .
 
Mkuu, uliisoma sehemu hii topic ukaja nayo nzima nzima?

Au ni mawazo yako tu ya busara umeamua leo kutufundisha?

Lakini je yanatoka katika oblongata ya mtu mwenye umri gani?

Kama ni mzee, naweza nikakupa hongera kwa tafakuri iliyo njema, ni madini yanayoweza kusaidia kizazi kijacho.

Lakini kama ni kijana, nitasema wewe ni mwalimu wa nadharia tu ambaye hauwezi kuyaishi unayoyafundisha leo, labda waweza kuyatekeleza kwa kiwango cha chini cha mwisho kabisa, tena kwa uangalizi wa watu wengine.

Kwa nini nimesema hivyo?

Kwa uzoefu wangu, ulivyoanza kulaani ngono zembe tu, nikakunasa na kukunasa!

Hii ilishaga kuwa ni filosofi ama catch word ya kutumia ma lecturer wanapotoa lacture zao lazima waanze kwanza kulaani uzinzi na starehe zingine ili kuivuta attention ya hadhira!

Lazima uelewe kwamba, mambo hayo ya uzinzi na pombe ni starehe za majority wenye kila aina ya daraja la maisha.

Na kwa vile wengi tunaishi katika jamii ya kinafiki, mambo hayo hufanywa kwa kificho kikubwa sana.

Si kweli kwamba kila afanyaye hayo ni lofa na nimaskini asiyefikia malengo yake ya mafanikio, hapana, ni uongo.

Hivyo unapotoa lacture zako, ni vema mambo hayo ukayaelezea kwa namna ya staha itakayowafurahisha rika zote, maskini na matajiri kwa kuwa jamii nzima imeegemea kufanya matendo hayo kwa uwazi ama kwa kificho.

Na kingine mnachofeli ninyi wahadhiri, kuyapenda na kuyahusudu mambo hayo hayo ambayo ninyi mnayalaani na kuwaasa jamii waachane nayo kwa mustakabali wa ustawi wao.
Thanks for appreciating, ila tambua vingi ninavyosema huwa naviishi kaka.

Halafu shukuru ndugu yako nipo so the education is free, skills za kina musk na Tesla hawaingii kwani Iam the mostly. Sakasaka Mao
 
Soma hata vitabu, angalia hata documentary za matajirii, acha au punguza watu ambao hawana faida na wewe, au mazingira yao hayakufaidishi . Sio kwa ubaya but you should create a better environment
Mkuu, umeandika vyema Uzi wako. Kiukweli ukiondoa makaburi, kitu kingine kinachoongoza kwa kuzika ndoto za watu wengi ni Mapenzi. Yanarudisha nyuma sana sometime.

Katika bandiko lako, Mimi naomba niongelee hayo niliyobold. Mkuu, kwenye haya maisha, tunawahitaji sana hata wale wasiotuhitaji. Yawezekana wakawa wanatuchukulia poa, kwavile hakuna namna wanaweza faidika na uwepo wetu, ila kama kuna namna tunaweza faidika na uwepo wao, basi hatuna haja ya kuwapa mkono wa kwaheri.

Alafu kingine mkuu, kwenye maisha hutakiwi kuwaondoa watu manually, acha safari ya maisha iwaondoe automatically. Tunakuwaga na tabia ya kuwaondoa watu manually ambao safari yetu ya maisha inawahitaji, alaf tunalazimisha kuwabakisha watu ambao automatically safari yetu ya maisha huwa inawakataa.
 
 
IMG-20230305-WA0236.jpg
 
Mkuu, uliisoma sehemu hii topic ukaja nayo nzima nzima?

Au ni mawazo yako tu ya busara umeamua leo kutufundisha?

Lakini je yanatoka katika oblongata ya mtu mwenye umri gani?

Kama ni mzee, naweza nikakupa hongera kwa tafakuri iliyo njema, ni madini yanayoweza kusaidia kizazi kijacho.

Lakini kama ni kijana, nitasema wewe ni mwalimu wa nadharia tu ambaye hauwezi kuyaishi unayoyafundisha leo, labda waweza kuyatekeleza kwa kiwango cha chini na cha mwisho kabisa, tena kwa uangalizi wa watu wengine.

Kwa nini nimesema hivyo?

Kwa uzoefu wangu, ulivyoanza kulaani ngono zembe tu, nikakunasa na kukunasa!

Hii ilishaga kuwa ni filosofi ama catch word ya kutumiwa na ma lecturer wanapotoa lacture zao, huwa lazima waanze kwanza kulaani uzinzi na starehe zingine ili kuivuta attention ya hadhira!

Lazima uelewe kwamba, mambo hayo ya uzinzi na pombe ni starehe za majority wenye kila aina ya daraja la maisha.

Na kwa vile wengi tunaishi katika jamii ya kinafiki, mambo hayo hufanywa kwa kificho kikubwa sana.

Si kweli kwamba kila afanyaye hayo ni lofa na nimaskini asiyefikia malengo yake ya mafanikio, hapana, ni uongo.

Hivyo unapotoa lactures zako, ni vema mambo hayo ukayaelezea kwa namna ya staha kubwa itakayowafurahisha rika zote, maskini na matajiri kwa kuwa jamii nzima huishi kwa kufanya matendo hayo kwa uwazi ama kwa kificho.

Na kingine mnachofeli ninyi wahadhiri, huwa ni kupenda kuyafanya na kuyahusudu mambo hayo hayo ambayo ninyi mnayalaani na kuwaasa jamii waachane nayo kwa mustakabali wa ustawi wao.
umemaliza mzee😂

its not black and white
 
Back
Top Bottom