Muda wa 'Shujaa Feki' wa Uokoaji Majaliwa Jackson na aliyemsifia 'Samjo Samjo' WM Kassim Majaliwa 'Kuumbuka' Unakaribia

Muda wa 'Shujaa Feki' wa Uokoaji Majaliwa Jackson na aliyemsifia 'Samjo Samjo' WM Kassim Majaliwa 'Kuumbuka' Unakaribia

Baadhi ya Wajumbe wanaoiandaa hiyo Ripoti huku wakiendelea na Uchunguzi wa mwisho mwisho wanasema Ushahidi wa Vifaa Maalum vilivyomo katika Ndege vinaonyesha Milango ilifunguliwa na Wahudumu wa Ndege kwa kusaidiana na baadhi ya Abiria waliokuwepo Ndani na hata pale ulipofunguka waliokuja Kuwaokoa Wote hakuwa Tapeli ( Samjo ) Majaliwa Jackson kama Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alivyoendelea na Utamaduni wake 'Maalum' aliojiwekea wa Kutudanganya Kunakotukuka Watanzania kama ule wa Tukio Kubwa la tarehe 17 Machi, 2021.

Taarifa za Awali na zenye uhakika kutoka kwa Wajumbe ambao pia ni Wabobezi wa Uchunguzi hasa wa Masuala ya Aviation zinasema kwamba Wavuvi wote kwa Ujumla wao ndiyo walisaidia katika Kuokoa na Kuwavusha Abiria hadi Ufukweni na Samjo ( Tapeli ) Majaliwa Jackson ( Muokoaji wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ) hakuokoa pekee na wala hakupiga hizo Mbizi hadi kule chini iliko Cockpit ya Ndege na Kuonana na Marubani ambao walimpungia Mikono.

Muda wa Muongo Mkuu wa Taifa la Tanzania Premier Majaliwa na Msaidizi wake RC wa Kagera Chalamila Kuumbuka kuhusu kututeulia huyo Muokoaji Muongo Muongo ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson unakaribia na msisahau kuwa Wanadamu tutadanganya ila Teknolojia na Uhalisia kamwe huwa havidanganyi.

Wale mnaoniuliza kwanini GENTAMYCINE namuandama mno Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa Kassim na simkubali Muokoaji Majaliwa Jackson majibu yenu ni haya yafuatayo.....

Niulizieni Kwake alifikiria nini na alituonaje Watanzania mpaka Kutudanganya vile kuwa Mtu ni mzima na anachapa zake Kazi Magogoni Ofisini wakati kumbe tayari alikuwa katika Friji ya Awali ya Mzena kabla ya kuhamishiwa katika ile iliyojengwa kwa Msaada wa Marafiki zetu Wajerumani ( Maalum na ya Kisasa ) iliyoko Lugalo ndani ya Chuo chao cha Tiba?

Kwa huyu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) Muokoaji Majaliwa Jackson naomba niulizieni Kwake je, alipozama chini ya Maji hadi kwenda Kuwasabahi ( Kuwasalimia ) Marubani waliompungia mkono aliwakuwa Hai au tayari Wameshatuaga Kidunia?

Kubwa zaidi niulizieni Kwake Tapeli Tapeli ( Samjo Samjo ) Muokoaji Majaliwa Jackson kuwa ni kwanini 99% ya Wavuvi Wenzake kila Wakihojiwa kuhusu Yeye kufanya Uokoaji huo ambao Watanzania tumedanganywa na Mdanganyaji Mkuu wa Taifa ( Premier Wetu ) wote Wanamkana na sasa wameenda mbali zaidi Kuhoji iweje awe Yeye pekee wakati kama ni Zoezi zima la Uokoaji limefanyika kwa pamoja na tena wako wengine waliojitoa Mhanga zaidi yake pale katika Maji yale ( ilipoangukia Ndege ) lakini wala hawana Makuu na Shobo kama Yeye?
We si mrundi huo utanzania umeupata wapi
 
wote Wanamkana na sasa wameenda mbali zaidi Kuhoji iweje awe Yeye pekee wakati kama ni Zoezi zima la Uokoaji limefanyika kwa pamoja na tena wako wengine waliojitoa Mhanga zaidi yake pale katika Maji yale ( ilipoangukia Ndege ) lakini wala hawana Makuu na Shobo kama Yeye?
Je ni nani aliyemtaja huyo Majaliwa kwa waliowengi kuwa alifanya yanayotajwa?
Je ni nani alikwenda kumtoa hospitali alikolazwa baada ya kupoteza fahamu na kumlete mkutanoni?
Tunaambiwa alipigwa na kitu kizito usoni, je, baada ya hapo waliobakia hawakuendelea na uokoaji?
Je walio take cover baada ya Ma J kuzirahi walifanya nini kibaya hata mchango wao usitambuliwe?
Je mashuhuda wote waliokuwepo walishindwa nini kupinga kutajwa kwake hadharani?
Je Majaliwa Jack na Majaliwa Kass walifahamiana kabla ya siku ya tukio?
 
Baadhi ya Wajumbe wanaoiandaa hiyo Ripoti huku wakiendelea na Uchunguzi wa mwisho mwisho wanasema Ushahidi wa Vifaa Maalum vilivyomo katika Ndege vinaonyesha Milango ilifunguliwa na Wahudumu wa Ndege kwa kusaidiana na baadhi ya Abiria waliokuwepo Ndani na hata pale ulipofunguka waliokuja Kuwaokoa Wote hakuwa Tapeli ( Samjo ) Majaliwa Jackson kama Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alivyoendelea na Utamaduni wake 'Maalum' aliojiwekea wa Kutudanganya Kunakotukuka Watanzania kama ule wa Tukio Kubwa la tarehe 17 Machi, 2021.

Taarifa za Awali na zenye uhakika kutoka kwa Wajumbe ambao pia ni Wabobezi wa Uchunguzi hasa wa Masuala ya Aviation zinasema kwamba Wavuvi wote kwa Ujumla wao ndiyo walisaidia katika Kuokoa na Kuwavusha Abiria hadi Ufukweni na Samjo ( Tapeli ) Majaliwa Jackson ( Muokoaji wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ) hakuokoa pekee na wala hakupiga hizo Mbizi hadi kule chini iliko Cockpit ya Ndege na Kuonana na Marubani ambao walimpungia Mikono.

Muda wa Muongo Mkuu wa Taifa la Tanzania Premier Majaliwa na Msaidizi wake RC wa Kagera Chalamila Kuumbuka kuhusu kututeulia huyo Muokoaji Muongo Muongo ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson unakaribia na msisahau kuwa Wanadamu tutadanganya ila Teknolojia na Uhalisia kamwe huwa havidanganyi.

Wale mnaoniuliza kwanini GENTAMYCINE namuandama mno Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa Kassim na simkubali Muokoaji Majaliwa Jackson majibu yenu ni haya yafuatayo.....

Niulizieni Kwake alifikiria nini na alituonaje Watanzania mpaka Kutudanganya vile kuwa Mtu ni mzima na anachapa zake Kazi Magogoni Ofisini wakati kumbe tayari alikuwa katika Friji ya Awali ya Mzena kabla ya kuhamishiwa katika ile iliyojengwa kwa Msaada wa Marafiki zetu Wajerumani ( Maalum na ya Kisasa ) iliyoko Lugalo ndani ya Chuo chao cha Tiba?

Kwa huyu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) Muokoaji Majaliwa Jackson naomba niulizieni Kwake je, alipozama chini ya Maji hadi kwenda Kuwasabahi ( Kuwasalimia ) Marubani waliompungia mkono aliwakuwa Hai au tayari Wameshatuaga Kidunia?

Kubwa zaidi niulizieni Kwake Tapeli Tapeli ( Samjo Samjo ) Muokoaji Majaliwa Jackson kuwa ni kwanini 99% ya Wavuvi Wenzake kila Wakihojiwa kuhusu Yeye kufanya Uokoaji huo ambao Watanzania tumedanganywa na Mdanganyaji Mkuu wa Taifa ( Premier Wetu ) wote Wanamkana na sasa wameenda mbali zaidi Kuhoji iweje awe Yeye pekee wakati kama ni Zoezi zima la Uokoaji limefanyika kwa pamoja na tena wako wengine waliojitoa Mhanga zaidi yake pale katika Maji yale ( ilipoangukia Ndege ) lakini wala hawana Makuu na Shobo kama Yeye?
Tusimlaumu sana majaliwa kwa kuzingatia yeye si mtalaam huenda wakati ndani wanajarbu kufungua yeye naye aliugonga huo mlango. Hivo wakati unafunguka aliamini yeye ndo kafungua. Kimsingi Majaliwa pamoja na yote pamoja ni shujaa tu kwa sababu alihatarisha maisha yake kwa faida ya wengine. Jiulize kwa nini alizimia na kupelekwa hospital?
 
What happen was a coincidence, wakati waliomo ndani ya ndege wakijitahidi kuufungua mlango, the way waliokuwa nje pia walikuwa wanajitahidi kuufungua, ulipofunguka, ikiwa wote wameufungua #wivu wa nini?
Kitendo chake cha kujitoa muhanga na kwenda kwenye tukio kwa dhamira ya kuokoa maisha ya binadamu ni ushujaa tosha.
Uko sahih kbsa kitendo tu cha kuwepo kwenye tukio ni ushujaa haswa
 
Baadhi ya Wajumbe wanaoiandaa hiyo Ripoti huku wakiendelea na Uchunguzi wa mwisho mwisho wanasema Ushahidi wa Vifaa Maalum vilivyomo katika Ndege vinaonyesha Milango ilifunguliwa na Wahudumu wa Ndege kwa kusaidiana na baadhi ya Abiria waliokuwepo Ndani na hata pale ulipofunguka waliokuja Kuwaokoa Wote hakuwa Tapeli ( Samjo ) Majaliwa Jackson kama Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alivyoendelea na Utamaduni wake 'Maalum' aliojiwekea wa Kutudanganya Kunakotukuka Watanzania kama ule wa Tukio Kubwa la tarehe 17 Machi, 2021.

Taarifa za Awali na zenye uhakika kutoka kwa Wajumbe ambao pia ni Wabobezi wa Uchunguzi hasa wa Masuala ya Aviation zinasema kwamba Wavuvi wote kwa Ujumla wao ndiyo walisaidia katika Kuokoa na Kuwavusha Abiria hadi Ufukweni na Samjo ( Tapeli ) Majaliwa Jackson ( Muokoaji wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ) hakuokoa pekee na wala hakupiga hizo Mbizi hadi kule chini iliko Cockpit ya Ndege na Kuonana na Marubani ambao walimpungia Mikono.

Muda wa Muongo Mkuu wa Taifa la Tanzania Premier Majaliwa na Msaidizi wake RC wa Kagera Chalamila Kuumbuka kuhusu kututeulia huyo Muokoaji Muongo Muongo ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson unakaribia na msisahau kuwa Wanadamu tutadanganya ila Teknolojia na Uhalisia kamwe huwa havidanganyi.

Wale mnaoniuliza kwanini GENTAMYCINE namuandama mno Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa Kassim na simkubali Muokoaji Majaliwa Jackson majibu yenu ni haya yafuatayo.....

Niulizieni Kwake alifikiria nini na alituonaje Watanzania mpaka Kutudanganya vile kuwa Mtu ni mzima na anachapa zake Kazi Magogoni Ofisini wakati kumbe tayari alikuwa katika Friji ya Awali ya Mzena kabla ya kuhamishiwa katika ile iliyojengwa kwa Msaada wa Marafiki zetu Wajerumani ( Maalum na ya Kisasa ) iliyoko Lugalo ndani ya Chuo chao cha Tiba?

Kwa huyu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) Muokoaji Majaliwa Jackson naomba niulizieni Kwake je, alipozama chini ya Maji hadi kwenda Kuwasabahi ( Kuwasalimia ) Marubani waliompungia mkono aliwakuwa Hai au tayari Wameshatuaga Kidunia?

Kubwa zaidi niulizieni Kwake Tapeli Tapeli ( Samjo Samjo ) Muokoaji Majaliwa Jackson kuwa ni kwanini 99% ya Wavuvi Wenzake kila Wakihojiwa kuhusu Yeye kufanya Uokoaji huo ambao Watanzania tumedanganywa na Mdanganyaji Mkuu wa Taifa ( Premier Wetu ) wote Wanamkana na sasa wameenda mbali zaidi Kuhoji iweje awe Yeye pekee wakati kama ni Zoezi zima la Uokoaji limefanyika kwa pamoja na tena wako wengine waliojitoa Mhanga zaidi yake pale katika Maji yale ( ilipoangukia Ndege ) lakini wala hawana Makuu na Shobo kama Yeye?
Kabla sijajiunga jf rasm nilikuwa nakuona bonge la mtu kumbe wwe ni mjinga kias hiki kumbe
 
Baadhi ya Wajumbe wanaoiandaa hiyo Ripoti huku wakiendelea na Uchunguzi wa mwisho mwisho wanasema Ushahidi wa Vifaa Maalum vilivyomo katika Ndege vinaonyesha Milango ilifunguliwa na Wahudumu wa Ndege kwa kusaidiana na baadhi ya Abiria waliokuwepo Ndani na hata pale ulipofunguka waliokuja Kuwaokoa Wote hakuwa Tapeli ( Samjo ) Majaliwa Jackson kama Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alivyoendelea na Utamaduni wake 'Maalum' aliojiwekea wa Kutudanganya Kunakotukuka Watanzania kama ule wa Tukio Kubwa la tarehe 17 Machi, 2021.

Taarifa za Awali na zenye uhakika kutoka kwa Wajumbe ambao pia ni Wabobezi wa Uchunguzi hasa wa Masuala ya Aviation zinasema kwamba Wavuvi wote kwa Ujumla wao ndiyo walisaidia katika Kuokoa na Kuwavusha Abiria hadi Ufukweni na Samjo ( Tapeli ) Majaliwa Jackson ( Muokoaji wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ) hakuokoa pekee na wala hakupiga hizo Mbizi hadi kule chini iliko Cockpit ya Ndege na Kuonana na Marubani ambao walimpungia Mikono.

Muda wa Muongo Mkuu wa Taifa la Tanzania Premier Majaliwa na Msaidizi wake RC wa Kagera Chalamila Kuumbuka kuhusu kututeulia huyo Muokoaji Muongo Muongo ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson unakaribia na msisahau kuwa Wanadamu tutadanganya ila Teknolojia na Uhalisia kamwe huwa havidanganyi.

Wale mnaoniuliza kwanini GENTAMYCINE namuandama mno Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa Kassim na simkubali Muokoaji Majaliwa Jackson majibu yenu ni haya yafuatayo.....

Niulizieni Kwake alifikiria nini na alituonaje Watanzania mpaka Kutudanganya vile kuwa Mtu ni mzima na anachapa zake Kazi Magogoni Ofisini wakati kumbe tayari alikuwa katika Friji ya Awali ya Mzena kabla ya kuhamishiwa katika ile iliyojengwa kwa Msaada wa Marafiki zetu Wajerumani ( Maalum na ya Kisasa ) iliyoko Lugalo ndani ya Chuo chao cha Tiba?

Kwa huyu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) Muokoaji Majaliwa Jackson naomba niulizieni Kwake je, alipozama chini ya Maji hadi kwenda Kuwasabahi ( Kuwasalimia ) Marubani waliompungia mkono aliwakuwa Hai au tayari Wameshatuaga Kidunia?

Kubwa zaidi niulizieni Kwake Tapeli Tapeli ( Samjo Samjo ) Muokoaji Majaliwa Jackson kuwa ni kwanini 99% ya Wavuvi Wenzake kila Wakihojiwa kuhusu Yeye kufanya Uokoaji huo ambao Watanzania tumedanganywa na Mdanganyaji Mkuu wa Taifa ( Premier Wetu ) wote Wanamkana na sasa wameenda mbali zaidi Kuhoji iweje awe Yeye pekee wakati kama ni Zoezi zima la Uokoaji limefanyika kwa pamoja na tena wako wengine waliojitoa Mhanga zaidi yake pale katika Maji yale ( ilipoangukia Ndege ) lakini wala hawana Makuu na Shobo kama Yeye?
Muacheni kijana wawatu bana , mbona mnakua na roho mbaya hivyo
 
Uzuri wa hii nchi ikiwapendeza raia majaliwa anaweza kuwa kama mandonga. Akipiga kapiga, akipigwa kapiga. Anatokea mtu na ripoti ya kumharibia, jamii inampa airtime ya utapeli pesa zinaendelea kuingia.
 
Nadhani wote mnaikumbuka ajali ya kivuko cha mv Ukara, kuna kijana Anaitwa Husseni yupo hapa Mwanza Mwaloni kirumba alifanya kazi kubwa sana ya uokoaji na serikali kupitia Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa waliahidi kumpa nyumba na usafiri lakini hadi leo jamaa hata baiskeli hakupewa na yupo hapa Kirumba mwaloni akibeba mizigo, serikali hii Mungu anawaona
 
What happen was a coincidence, wakati waliomo ndani ya ndege wakijitahidi kuufungua mlango, the way waliokuwa nje pia walikuwa wanajitahidi kuufungua, ulipofunguka, ikiwa wote wameufungua #wivu wa nini?
Kitendo chake cha kujitoa muhanga na kwenda kwenye tukio kwa dhamira ya kuokoa maisha ya binadamu ni ushujaa tosha.
Kabisa kabisa sema RC Chalamila alitakiwa kuhoja waliohusika kwenye zoezi la uokoaji hata kama nusu yao kuona jinsi gani ya kuwashukuru kuliko yeye kuteua mmoja. iinavunja moyo!!!
 
Ripoti imetoka nusu na Hakuna sehemu Majaliwa ametajwa tusubiri huko mbeleni kuona character aliyocheza
B0C408BF-9F39-4395-9493-4DB8A7BED9BB.jpeg
 
Back
Top Bottom