Mudathir Yahya kuna siku ataigharimu timu kwa maguvu yake eneo la golini

Mudathir Yahya kuna siku ataigharimu timu kwa maguvu yake eneo la golini

Mkuu kupoteza mechi moja tu mshaanza kumtafta mchawi nani. Tulieni yahya mbna ni mchezaji mzuri saana hayo ni makosa yapo kwa wanadamu
 
Mkuu kupoteza mechi moja tu mshaanza kumtafta mchawi nani. Tulieni yahya mbna ni mchezaji mzuri saana hayo ni makosa yapo kwa wanadamu
Mechi ya 3 anarudia kitu kile kile makosa yale yale. Akikutana na refa katili atatufungisha.
 
Ni refa Juha tu ambaye mtu akiguswa tu ndani ya box anatoa penati.

Ukitoa foul kwenye kila mtu akiguswa, mechi itaisha na wachezaji wawili, makipa.
 
Muda yahya ni mchezaji anaefanya makosa sana akienda kukaba eneo la box uwa anatumia nguvu kupitiliza bila akili.

Akikutana na mafowadi wajanja kuna siku ataigharimu timu kwenye mechi muhimu sana.
Kosa moja lisikufanye ujumuishe yote unayoyajua
 
Muda yahya ni mchezaji anaefanya makosa sana akienda kukaba eneo la box uwa anatumia nguvu kupitiliza bila akili.

Akikutana na mafowadi wajanja kuna siku ataigharimu timu kwenye mechi muhimu sana.
Kwa jana ilitakiwa afanye hivyo walikuwa pungufu
 
Muda yahya ni mchezaji anaefanya makosa sana akienda kukaba eneo la box uwa anatumia nguvu kupitiliza bila akili.

Akikutana na mafowadi wajanja kuna siku ataigharimu timu kwenye mechi muhimu sana.
sikuzote ulikua wapi kutoa huu uchakondoo wako?
 
Tuseme ukweli,wachezaji wa Yanga wanatumia nguvu nyingi sana wakati ambao hawana mpira,hii ni hatari siku wakikutana na refa katili watachezea kadi sana, nadhani hili marefa wameanza kuliona hivi karibu tumeanza kuona wanapigwa kadi.
 
20241102_194929.jpg
 
Back
Top Bottom