Kweli...linapokuja suala la mapacha wa kkoo marefa wanakuwa na wasiwasi mno kutoa maamuzi sahihi imefikia kipindi wanacheza faulo za wazi mno na marefa hawatoi kadiSio uto tu hata na sisi mbona huwa naona tunabebwa mno
Mapacha wa Kariakoo huwa wanabebwa sana
Hata jana bacca alifanya ile faulo akiamini mambo yatakuwa km siku zote ile kadi nyekundu ilikuwa suprise kwa wachezaji, benchi la ufundi hadi mashabiki jukwaani kwa sababu huwa wanaamini wao ni untouchable