Mudathir Yahya kuna siku ataigharimu timu kwa maguvu yake eneo la golini

Mudathir Yahya kuna siku ataigharimu timu kwa maguvu yake eneo la golini

Unajua kwanini Aucho alikosa fainali ya shirikisho, Backa alikuwa na kadi ngapi? Halafu caf mmeshiriki Mara ngapi kwa miaka ya hivi karibuni.
Ni wachezaji wa Yanga tu wanapewa tu kadi???
Kadi ni kitu cha kawaida kwenye mpira wala sio ajabu

Kwamba simba wao hawafanyagi makosa kabisa kwa hiyo hawapewagi kadi kabisa
Kama kwako kadi ni ajabu hiko kitakua ni kituko
 
Muda Yahya ni mchezaji anaefanya makosa sana akienda kukaba eneo la box huwa anatumia nguvu kupitiliza bila akili.

Akikutana na mafowadi wajanja kuna siku ataigharimu timu kwenye mechi muhimu sana.
Alipokuwa anamfanyia rafu Kibu hamkuona, sasa mnaanza kuona?
 
Wee nae acha usenge, hii post umeganda nayo utadhani inakusaidia nini? Kuna haja gani unaipaste kila page? Tumia akili basi japo kiduchu
 
Ni wachezaji wa Yanga tu wanapewa tu kadi???
Kadi ni kitu cha kawaida kwenye mpira wala sio ajabu

Kwamba simba wao hawafanyagi makosa kabisa kwa hiyo hawapewagi kadi kabisa
Kama kwako kadi ni ajabu hiko kitakua ni kituko
Simba walikuwa na Kanoute lakini yanga Kuna sure boy ingawa siku hizi hapangwi, Aucho, Mudhathiri, Job na Bacca kwa sababu ya marefa wa mchongo ndio wanawapa vichwa.
 
Back
Top Bottom