Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Khaaa niseme salam zinatoka kwa nani..?Mkuu msalimie huyo babu hapo nazareth butcher.
Hawa watu hovyo sana sasa hiyo kazi kubwa iliyofanywa kamati ni ipi? Imepanda angani kuangalia mwezi au?
😂😂😂 mtumishi hapo ashapanga safari yan😂😂😂 Yaani ikianzia Alhamisi ndio bomba tungagonga long weekend alafu tena tarehe 26 inaangukia ijumaa 😂😂😂
ImetangazwaWengine tumekaa roho juu
Kesho tuzame vibaruani au tulale
Nimekaa page ya Millard ayo nasubiri apostkesho siku ya kugombana na Hr kama haitakuwa sikukuu yaan naiona warning letter kabisaaa😂
Oyoo bata lianze sasaImetangazwa
Kwani leo si tar 9? 😂😂 mnatufunga kamba mtugombanishe na ma incharge
Kwani leo si tar 9? 😂😂 mnatufunga kamba mtugombanishe na ma incharge View attachment 2958913
Kwahiyo ni Zanzibar tu 😂😂 bara wangoje tar 11??View attachment 2958918
Wewe lala, barua ya onyo utaikuta dirishani kwako
Wanatumia vyombo vya makafir kuangalia mwezi?Watu tumeshajikoki tayari kufinya cha mtume, hao bakwata bado tu wanajimumunya?
View attachment 2958891
Mtumishi tuliaBusara itumike sikukuu iwe Alhamisi