Mufti athibitisha kuandama kwa mwezi Eid kesho, kesho April 10,2024

😂😂😂 Yaani ikianzia Alhamisi ndio bomba tungagonga long weekend alafu tena tarehe 26 inaangukia ijumaa 😂😂😂
😂😂😂 mtumishi hapo ashapanga safari yan
 
kesho siku ya kugombana na Hr kama haitakuwa sikukuu yaan naiona warning letter kabisaaa😂
Nimekaa page ya Millard ayo nasubiri apost
Maana naona dalili ya kugombana na HR kabisa
 
Mama Samiah atoe tu tamko kama kesho ni sikukuu tupumzike mpaka Jumatatu hahaa looh
 
Labda lile jiwe waliokuwa wanaluzunguka huku wakitamka ...... FULUSI........FULUSI.....FULUSI.... Bado halijawapa jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…