Umeangalia possession, simba leo kaposses mpira kuliko Yanga. Asilimia 54 kwa 46swali na unafungwa na umechezaje?
Turudi pale pale. Chama alikuwa mpaka abebwe na wenzie au alikuwa anabeba team yeye mwenyewe? Tena kwenye nyakati ngumu..
Sasa huyu mariaroza unadai anaangushwa na wenzie means anabebwa tena kiungo?
halafu mwisho wa mechi ikawaje? Naskia mmeshinda?😀😀😀Umeangalia possession, simba leo kaposses mpira kuliko Yanga. Asilimia 54 kwa 46
Hata nafasi za kufunga katengeneza nyingi tu.
Hata magoli kafunga mengi sana.Umeangalia possession, simba leo kaposses mpira kuliko Yanga. Asilimia 54 kwa 46
Hata nafasi za kufunga katengeneza nyingi tu.
Ndio nakwambia tatizo sio Chama, maana tushafungwa mara nyingi tu na chama akiwemo.halafu mwisho wa mechi ikawaje? Naskia mmeshinda?[emoji3][emoji3][emoji3]
huwa Najua sana kuwatibua wapumbavu kama wewe mnaoangalia mpira kwenye redio.Ndio nakwambia tatizo sio Chama, maana tushafungwa mara nyingi tu na chama akiwemo.
Hueleweki hata unaongea nini
Get the f uck outta herehuwa Najua sana kuwatibua wapumbavu kama wewe mnaoangalia mpira kwenye redio.
Siku nyingine usiongee upumbavu.
Position na ushindi kipi kinachotakiwa?
position na ushindi kipi kinatakiwa?Get the f uck outta here
Ni possession sio position.position na ushindi kipi kinatakiwa?
U are very right!!! Nimesikitishwa sana na kiwango cha jamaa aiseeTafadhalini sana tuondoleeni huyu mcheza striker mkabaji na mcheza off side kila wakati kwenye club yetu kwani kazi ya kufunga magoli iliisha mshinda siku nyingi. Kiwango hana na hastahili kuchezea timu kama Simba.
Miqeson na Chama walipokuwepo kila mechi Simba ilikuwa inashinda?Msianze kutafuta mchawi Makolo fc, kinachoendelea kuwatesa ni pengo la chama na mixon, huyo kanute na banda bado saaana
ok tupo pale paleNi possession sio position.
Taja mbinu aliyoikariri hapa kama una mbinu unazifahamuUkitazama hata mechi ya mazembe tulikufa sabab ya uzembe wake .
Ifike wakat Simba wakubali kuwa Mugalu na boko wamechoka .
Kibu Denis atafutiwe pacha maisha yaendelee .
Alafu kocha nae aache kukariri Ana mbinu za mwaka Jana tayar washamsoma abadir mfumo pia aache kukariri kuchezesha wachezaj wale wale.
Nikiri tu waz mm ni Simba damu Ila kwa huu msimu Simba kubeba ubingwa wajipange Sana Tena sana ,yanga safar hii Wana timu nzur hasa ile pacha ya bangala na aucho plus fei italeta shida Sana kwa timu nyingi.
Pia yanga wamepata mtu sahihi wa kumalizia yule mayele namwona akitupia Sana huu msimu.
Tadeo lwanga kwa mpira ule huu msimu kadi zitamhusu Sana .
Kanoute ni mtu Sana yule Ila waswas wangu upo kwa lwanga pale katikat anacheza Sana faulo .
Mugalu Mugalu Mugalu hapana aisee kila cku yeye tu jaman ,hapana nasema Bora aje okwi kuziba nafas yake.