MUGALU: Persona non grata

MUGALU: Persona non grata

swali na unafungwa na umechezaje?
Turudi pale pale. Chama alikuwa mpaka abebwe na wenzie au alikuwa anabeba team yeye mwenyewe? Tena kwenye nyakati ngumu..

Sasa huyu mariaroza unadai anaangushwa na wenzie means anabebwa tena kiungo?
Umeangalia possession, simba leo kaposses mpira kuliko Yanga. Asilimia 54 kwa 46

Hata nafasi za kufunga katengeneza nyingi tu.
 
Umeangalia possession, simba leo kaposses mpira kuliko Yanga. Asilimia 54 kwa 46

Hata nafasi za kufunga katengeneza nyingi tu.
halafu mwisho wa mechi ikawaje? Naskia mmeshinda?😀😀😀
 
Ndio nakwambia tatizo sio Chama, maana tushafungwa mara nyingi tu na chama akiwemo.

Hueleweki hata unaongea nini
huwa Najua sana kuwatibua wapumbavu kama wewe mnaoangalia mpira kwenye redio.

Siku nyingine usiongee upumbavu.
Position na ushindi kipi kinachotakiwa?
 
Allora, pensi quel sarà la soluzione di tutti I vostri problemi
 
Mugalu kazoea kufunga magoali mepesi sasa kipindi iki wapikaji magoal akuna lazima apoteane
 
Kilichotokea ni matokeo tu ya mpira.Angeshinda simba mashabiki wa Yanga wangekuja uku kupondea wachezaji wao,kashinda yanga mashabiki wa simba mmekuja kama kawaida.Timu zote zimecheza vizuri mengine ni matokeo tu na mwalimu atayafanyia kazi.huyo mugalu mbona unamuhukumu kisa kashindwa kufunga ina maana hakunaga mechi alizunga?. kila mchezaji ana siku mbaya uwanjani.Subiri ligi ianze walimu watajua wapi pakurekebisha.
 
Tafadhalini sana tuondoleeni huyu mcheza striker mkabaji na mcheza off side kila wakati kwenye club yetu kwani kazi ya kufunga magoli iliisha mshinda siku nyingi. Kiwango hana na hastahili kuchezea timu kama Simba.
U are very right!!! Nimesikitishwa sana na kiwango cha jamaa aisee
 
Ukitazama hata mechi ya mazembe tulikufa sabab ya uzembe wake .

Ifike wakat Simba wakubali kuwa Mugalu na boko wamechoka .

Kibu Denis atafutiwe pacha maisha yaendelee .

Alafu kocha nae aache kukariri Ana mbinu za mwaka Jana tayar washamsoma abadir mfumo pia aache kukariri kuchezesha wachezaj wale wale.

Nikiri tu waz mm ni Simba damu Ila kwa huu msimu Simba kubeba ubingwa wajipange Sana Tena sana ,yanga safar hii Wana timu nzur hasa ile pacha ya bangala na aucho plus fei italeta shida Sana kwa timu nyingi.

Pia yanga wamepata mtu sahihi wa kumalizia yule mayele namwona akitupia Sana huu msimu.

Tadeo lwanga kwa mpira ule huu msimu kadi zitamhusu Sana .

Kanoute ni mtu Sana yule Ila waswas wangu upo kwa lwanga pale katikat anacheza Sana faulo .

Mugalu Mugalu Mugalu hapana aisee kila cku yeye tu jaman ,hapana nasema Bora aje okwi kuziba nafas yake.
Taja mbinu aliyoikariri hapa kama una mbinu unazifahamu
 
Lwangaaa ni mchezaji wa hovyo hovyo siku zote.
Mtu wa kucheza rafu sanaaa maviwiko kwa sana ila konoute watani yule ni mchezaji nakubali.
 
Back
Top Bottom