Muhammad al-Jabari Kiongozi mkubwa wa magaidi wa Islamic Jihad anayeongoza kitengo cha kutengeneza silaha za maangamizi auawa leo asubuhi

Allah alipaswa kuwalinda watu wake
Katika uislam kufa ukipigania nchi ni sawa na kufa shahidi.
Na Allah alishatuambia katika suratul Imran"nitawapa mitihani ya njaa,kuondokewa na mali na vifo na magonjwa".hivyo hiyo ni mitihani ya Mungu wala waislam hatutetereki.
 
Poleni sana Mkuu, vipi aliuawa na nani?
 
Sote kwa pamoja tuseme takbiiiir.

Wangekubali ceasefire mapema viongozi wao wangekuwa hai mpaka muda huu, Hamas wamechanganyikiwa huko kwenye mashimo.
wallah hatukubali 😇🥵🔥
 
Hamna kiongozi wa ugaidi atakayebaki salama including Hassan Nasrallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…