Muhammad al-Jabari Kiongozi mkubwa wa magaidi wa Islamic Jihad anayeongoza kitengo cha kutengeneza silaha za maangamizi auawa leo asubuhi

wakiristo wa JF mtachinja kuku kwa wengi siku 2 hizi.
Nyie ndio wachinjaji mahiri kuanzia ndege,wanyama na binadamu yaani ni mahiri kwelikweli,wenyewe mnaona sifa hadi mnayo siku spesho!
 
Myahudi anahati miliki ya radar zote duniani unategemea nini.. wacha wabondwe
 
Ila jamani Israel ni namba mbaya!! Daaa, huko ndipo watu wanazitendea haki kazi zao!! Sio kwenye lile li nchi la kusadikika, wananchi wanapotea kila leo, wahusila nao wanashangaa heee inakuwaje?!! Toka lile tukio la kulipuliwa ubalozi wa USA, jamaa wanatoka US, wanamwambia mwenyeji tupeleke huku.. Niliona hapa tunalindwa na Mungu tu. Misuti mikubwa hakuna lolotee
 
Ukiona huwawezi ungana nao..
Mwenzao Egypt alishajifunza hataki kabisa kusikia habari za kupigana na Israel maana hapo ni sawa unapigana na USA sasa jichanganye..
Shida sio israel au marekani shida waarabu wenyewe hawaaminiani,,,,na israel na marekani ndo wanatumia huo mwanya tu.........kuna nchi za kiarabu wanajua Israel au marekani akiangushwa tu na iran awe na influence kubwa basi na wao watapinduliwa....kwahio kuna waarabu piga ua lazima wasimame na israel na marekani kwa namna yeyote ile
 
Ngoja tumwambia Netanyahu ahamie na huku East Afrika kuna washabiki wengi wa Ugaidi.
Huyo zaidi ya Marekani hawezi kwenda popote atanyakwa na huko anakuwa anajificha Kama panya
 
Huyo zaidi ya Marekani hawezi kwenda popote atanyakwa na huko anakuwa anajificha Kama panya
Hivi kushabikia Ugaidi huwa mnapewa Kahawa chungu Vikombe vingapi?!
 
Hao magaidi wa Israel,walimsulubu Yesu na kumuua,wataacha kuua wengine.Wakati Yesu kwenye uislamu,anaheshimika,wao Magaidi wa Israel,wanamuita mtoto wa nje ya ndoa
 
Hivi kushabikia Ugaidi huwa mnapewa Kahawa chungu Vikombe vingapi?!
Gaidi mkubwa Israel,almvqlisha nepi Yesu,akamsulubu,akamuua,wafikiri atauonq ufalme wa mbinguni,na bado anamuita Yesu ni mtoto wa nje ya ndoa.
 
This was was a typical jihadist and his appearance is in sharp contrast to the true men of God we have known through other religious books.
 
Israel haijahusika na kifo cha rais wa Iran,Netanyahu alilikana na alikataa katika vyombo vya habari.
Usijiropokee kama umelewa.
Hata siku wakimuua Ayatollah mwenyewe unafikiri atakubali, wewe zubaa hapo.
 
Ila Yesu na Issa ni watu wawili tofauti kabisa kwani wakati Yesu alizaliwa kwenye hori la ng'ombe huyo Issa yeye inasemekana alizaliwa chini ya mtende.

Na hata maisha yao yaliyofuatia baada ya kuzaliwa yalikuwa tofauti kabisa.
 
Ila Yesu na Issa ni watu wawili tofauti kabisa kwani wakati Yesu alizaliwa kwenye hori la ng'ombe huyo Issa yeye inasemekana alizaliwa chini ya mtende.

Na hata maisha yao yaliyofuatia baada ya kuzaliwa yalikuwa tofauti kabisa.

Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu.

Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).


Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.

Na kama Wakristo mnang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi mjuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Kwa hali hii ni kweli maneno yako Yesu na nabii Issa ni watu wawili tofauti .
 
Huyo zaidi ya Marekani hawezi kwenda popote atanyakwa na huko anakuwa anajificha Kama panya
Kwa taarifa yako ni kwamba, Netanyahu hata akiamua kwenda Iran leo hakuna wa kumkamata.
 
Hivyo ndivyo Mungu alivyopanga uwe mwanzo wa Yesu na wala hakuna cha ajabu hapo hao makahaba kama ni dhambi walikuwa nayo ni sawa tu na wengine nao walivyokuwa na dhambi zao hivyo hata kama angetokana na wanawake wengine lakini bado tu wangekuwa na dhambi vilevile.

Hata wewe hapo ulipo una dhambi vilevile sawa na wengine sasa nakushangaa unapojifanya kuona dhambi za wengine wakati wewe siyo malaika.
 

Ndivyo alivyokuambia ? Alipanga wapi na amesema mtoto wa kizazi cha zinaa asiingia kwenye mkutano wa Bwana yaani hata huyo Yesu wenu haruhusiwi kuingia kwenye mkutano wa Bwana . Vyenginevyo Lete ushahidi kuwa anaingia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…