Hatari sana,hakukuwa na mawasiliano pia yule mfumo ulimuamuliaKamishna Siang'a alikuwa front... Juu chini.. Zunguka nyumba Yote...
Yule mtoto wa kitanga nilijua laini laini ila speed yake sio poa... Yeye ndio alikuwa na jiko anazifunga pipi... Tayari kwa kupakiwa kwa punda...
Ilikuwa ni movie ndio maana hata nyumba za majirani zilikuwa chini ya ulinzi.. Hakuna kuingia wala kutoka.
Yule padri aliyeua albino alikua muislam kumbe!Waislam wote Duniani lazima wawe na Dhambi Moja kubwa sana
Kuzini
Magedo
Kuua
madawa
Ushoga
Utaongezea.
Kama huamini mtafute Swala tano hapo mtaani kwako alafu umchunguze
Mkuu hii biashara ina watu wazito nyuma yake . Hivi ngoja nikuulize kitu, magufuli pamoja na ubabe wake wote hakuwahi hata kuwanyooshea kidole hao mapapa achana na Hawa punda.Duh! Sasa kwa nini polisi wasitengeneze mazimgira ya kumuua tuu kama walivyofanya kwa yule don wa colombia
Mie ningekuwa mkuu wa hiyo idara yaani ningesema kabis ahapa sitaki kesi nataka a dead body tena especially mtu ambaye tunajua kabisa anatembea na bunduki
π hamna lolote mm mwepesi kabisa mkuu,sema kuna shuguliMsiojua mrangi ni mnyemenyeme (mwana kitengo) na pia ni born town haswa sio wa kitotototo.
Hatari sana,hakukuwa na mawasiliano pia yule mfumo ulimuamulia
Polisi magomeni,obay,urafiki wenyewe wali blow π
Ova
Mmmmh hebu tueleze vizuri mkuuAntonio nugaz ashukuru kwa kubarikiwa kutoka mbio vinginevyo kwenye hii kesi angekuwepo
Chonji alikuwa jeuri bana anajiamini sanaKamishna Siang'a alikuwa front... Juu chini.. Zunguka nyumba Yote...
Yule mtoto wa kitanga nilijua laini laini ila speed yake sio poa... Yeye ndio alikuwa na jiko anazifunga pipi... Tayari kwa kupakiwa kwa punda...
Ilikuwa ni movie ndio maana hata nyumba za majirani zilikuwa chini ya ulinzi.. Hakuna kuingia wala kutoka.
Wamekamatwa wa 5 ila Chonji ndio yupo kwenye headline itakuwa ni maarufu huyu
Noma kweli mzee baba aiseeNa kesi hii ilikuwa na msukumo nyuma yake.... ikimlenga huyu huyu chonji ndy yote haya yakatokea
Kwanza hiyo siku jamaa chonji anapigwa ambush kituo cha polisi magomeni wala urafiki walikuwa hawana taarifa
Umeme ulizimwa eneo lote hilo la magomeni
Baharia siku hiyo nlikuwa grand Hotel pale nna mgeni
Ebwana ilikuwa kama movie....
Chonji walipomtimbia kwake alijua anavamiwa na majambazi
Mule ndani kwqke jamaa alikuwa na mzigo mahela,kuna watu walikuwa wanapack kazi wengine wana hesabu mijihela nk
Jamaa alipelekewa watu wa maana watu walipigika sana maana yeye si alikuwa na watu wapiga ngumi π akapelekewa watu wa ngumi pia
Ila ile operation kwake hata polisi magomeni,urafiki,obay walikuwa haijuwi kama inafanyika
Ova
Na chanzo la balaa lake lipoItakuwa hakufuata maelekezo... Walifatwa wakubwa wote wakaambiwa waachane na hizo habari...
Itakuwa alikaidi..
Babe nilitaka siku moja tu inject heroin tupae juu ka njiwa ndio tujifeel tuko ju ya hii dunia.Safi sanaa!
Adhabu imewafaa mashetani wakubwa.
Kumbe wewe ni tejaBabe nilitaka siku moja tu inject heroin tupae juu ka njiwa ndio tujifeel tuko ju ya hii dunia.
Very very high high
Kwenye migodi ya madini mbeya (location undiscosed) ulienda kufanya op kama informer wa kitengo bisha nimwage ujiuji ila uzi utafungwa!!π hamna lolote mm mwepesi kabisa mkuu,sema kuna shuguli
Zingine tulizifanya basi tulikutana na mambo mengi na kufahamu,kufahamiana na watu
Tu hamna cha kitengo wala nini
Ova
Sasa vituo vya polisi kama magomeni na kwengineko chonjiItakuwa hakufuata maelekezo... Walifatwa wakubwa wote wakaambiwa waachane na hizo habari...
Itakuwa alikaidi..
Hata kama unajua mambo yake usiyaweke hapa, be a ManKwenye migodi ya madini mbeya (location undiscosed) ulienda kufanya op kama informer wa kitengo bisha nimwage ujiuji ila uzi utafungwa!!
Anajiamini sana... Connection kubwa... Ndio maana akiendelea kupiga kazi... Ikabidi wamuibukie kininjaaChonji alikuwa jeuri bana anajiamini sana
Ova
Achana naye huyo, mshikaji alikuwa bonge la don, Kikwete wakati anamalizia utawala wake ndiyo alitoa oda. Kuna mdau kaelezea jinsi alivyokamatwa kwake, tulikuwepo hiyo siku.Nafikiri umeme ulikatwa Dar nzima, coz tuliulizana kila mahali.kumkamata kwake tu ilikuwa balaa, watoto wa mjini watakwambia chonji ni nani
Sio ma classmate hawa?Dar kila mtu ni maarufu chief, ebu elezea ndio akina nani hao wachoji...π€
Sasa vituo vya polisi kama magomeni na kwengineko chonji
Aliviweka mfukoni pale kuna maskari walikuwa kwenye payroll yake π
Ndomana kwwnye ambush unaweza letewa sura ambazo hujawahi hata ziona π
Jamaa hawacheki π lazima waondoke na weee
Ova