Muhimbili kuanza kupandikiza mimba mwaka 2020

Sio hatar kuna watu wanacancer ya uzazi hawez kumpa mimba mwanamke au maradhi kama hiv kuogopa kuambukizana unaenda pandikiza zinachukuliwa mbegu zako halafu zinaingizwa kwa mwanamke
BEI ZAKE TISHIO
 
... mimba halali ni ile inayotungwa kwa manii kuingia tumbo la uzazi baada ya uume kupenya ukeni; hiyo ndio njia pekee aliyoumba Mola wetu kuendeleza kizazi na sio vinginevyo.
Hata hiyo ni sehemu ya kuendeleza kizazi kwa wanandoa wenye shida kutunga mimba kwa njia ya asali,manii na yai la mama vinarutubishwa nje ya mfumo wa uzazi halafu vinarejeshwa kwenye mfuko wa mama na mimba inakuwa kama kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi wale ambao hawajabahatika kuolewa au kuoa na wenye upungufu wa nguvu za kiume Basi nafikili hii itawasaidia.
Ivf haina uhusiano na kuolewa au upungufu wa nguvu za kiume.
Maana wengi wanaofanya ivf ni wanandoa na tena wapo vizuri kifedha,single wenye pesa zao maana gharama zake siyo chini ya 10m ya kibongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata dar kuna private hospital wanafanya mpaka unampatia mtoto siyo chini ya 20m za Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale mliofika na kusikia kwa watu muuhimbili kwa ajili ya huduma ya IVF tunaomba mtupe mrejesho gharama zikoje na wanachukua mda gani??????

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hatua nzuri japo tumechelewa mno kuanza..kuhusu kupandikiza mimba ni jambo jema...ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kutoka na shida ya watoto...sasa nadhani huduma hii ikija itarudisha furaha majumbani....

Kuhusu kupandikiza viungo nalo ni jema ila maandalizi ya sera na sheria lazima yafanyiwe kazi...maanake tutaanza kuibia figo...human organs trafficking...hapo lazima tujipange tena sana...
 
Mkuu Rich1
Tulia Hapa Hapa Utapewa Majibu
 
Kwa ukanjanja wangu kupandikiza mimba process yake ni very complex. Mimba inaweza kutungishwa kwa mwanamke mwingine na kupachikwa kwa mwanamke asiyeshika mimba. Au mwanauke asiye na uwezo au nguvu za kuzaa mbegu zake huchukuliwa na kupachikwa kwa mwanamke. Wataalamu humu toeni darasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry mwanaume asiye na uwezo wa kutungisha mimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…