Chimamiroby
Member
- Nov 13, 2019
- 46
- 42
unawaza tofauti na maana hiyo wanalionayo muhimbili jaribu kuchimba kdg utaelewaWanapoteza muda na hela bure.
Ajiri madume ya mbegu yasiyojulikana yakae pale iwe kazi kuwamwagia tu, ukimwagiwa unakwenda anaingia mwingine naye anamwagiwa kuna watu wanamatank ya mbegu.
Shukuru Mungu hujapata changamoto ya uzazi... mimba halali ni ile inayotungwa kwa manii kuingia tumbo la uzazi baada ya uume kupenya ukeni; hiyo ndio njia pekee aliyoumba Mola wetu kuendeleza kizazi na sio vinginevyo.
Kweli kabisa,,uyo ngoja mtoto wake wakike au mdogo ake apate ndoa ndan ya miaka kumi no mtoto ndo atawaelewa muhimbili wamemaanisha nn ila kwa sasa hivi anaona kama upuuzi tu.Shukuru Mungu hujapata changamoto ya uzazi
eheee.. Kama mwanaume ana kipato na hajaoa hii njia itatumika sanaYaani mtu aende akatoe hela yake apandikize mimba then aje akubambike wewe??
Sasa si atege hapohapo? Kifupi ukiona mpenzi wako ameenda kupandikiza jijue tu kuwa ameona wewe ni uselesseheee.. Kama mwanaume ana kipato na hajaoa hii njia itatumika sana
Kumbe wee hujaelewa tunachokizungumzia... Sio inshu ya kwenda kupandikiza nasemea utayari wa mwanaume. Mwanamke anaweza kupandikaza kwa ajili ya malengo yake ya ndoaSasa si atege hapohapo? Kifupi ukiona mpenzi wako ameenda kupandikiza jijue tu kuwa ameona wewe ni useless
Naona hata wewe huelewi? Mtu kama anataka kukupa mtoto kwa nini apoteze hela kwenda kupandikiza wakati anaweza kuipata hapohapo kwako?Kumbe wee hujaelewa tunachokizungumzia... Sio inshu ya kwenda kupandikiza nasemea utayari wa mwanaume. Mwanamke anaweza kupandikaza kwa ajili ya malengo yake ya ndoa
Sasa kila nikikutana nae navaa mpira.Naona hata wewe huelewi? Mtu kama anataka kukupa mtoto kwa nini apoteze hela kwenda kupandikiza wakati anaweza kuipata hapohapo kwako?
We nae huelewi hata unachokisimamia, kama unatumia mpira mwanamke anakuleteaje mimba? Atakuambia imeingilia wapi? Na huyo mwenzio unayemuunga mkono hoja yake amesema itumike mipira ili watu wasibambikwe. Kifupi hueleweki yaani.Sasa kila nikikutana nae navaa mpira.
rejea post yangu ya kwanza "mipira lazima itatumika sana" lazima atumie mbinu mbadala kuipata mimba kutoka kwangu
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) nchini Tanzania itaanza kutoa huduma ya kupandikiza mimba kuanzia Januari mwaka 2020.
Hayo yameelezwa leo Jumanne Novemba 19, 2019 na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo, Profesa Lawrence Museru wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya miaka minne ya MNH tangu Rais John Magufuli alipoapishwa kuwa kiongozi mkuu wa nchi.
“Tumeshapeleka wataalamu nchini India kuangalia namna ambavyo huduma ya upandikizaji mimba (IVF) inavyotolewa katika hospitali za umma, ni miundombinu na vifaa gani vinahitajika,” amesema Profesa Museru.
Amesema kwa sasa mainjinia wameanza kukarabati jengo katika hospitali hiyo litakaloanza kutumika kwa ajili ya kutoa huduma hiyo kabla ya jipya litakalojengwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila.
“Ununuzi wa vifaa unafanyika na mipango imeanza, tayari wataalamu wameshatayarishwa, tunatarajia katika miezi miwili ijayo tutaanza rasmi kufanya upandikizaji,” amesema Profesa Museru.
Amesema huduma hiyo itakuwa ya kulipia, “tutataka watu wailipie hatujajua itagharimu kiasi gani, hiyo ni mpaka wataalamu watakapofanya maamuzi lakini asiyeweza kulipia pia tutaingia kwenye mfumo wa huduma za namna hiyo.”
Amesema katika kituo hicho zitatolewa huduma za kupandikiza figo, vifaa vya kusaidia kusikia, kupandikiza mimba, ini, uloto na maabara ya kujifunzia ujuzi.
Ni Jambo jema kwa wale wenye matatizo ya kutungisha mimba kiasili pia faida Ni nyingi hasa katika kuchagua mbegu (mapacha,jinsia nk), na uboreshaji wa mbegu za kiume.
Wasisahau haya mambo yanaenda mabadiliko ya Sheria hasa uraia, kuasili watoto na mirathi.
Siyo dhambi ili mradi tu mtu apandikiziwe mbegu za mmewe tu!Sijui biblia inasemaje kuhusu hiyo kitu ila kama si dhambi itabidi niende nikapandikize[emoji125][emoji125]
Kwani hiyo ivf mimba inabebwa kwenye chupa mpaka mtoto anafikisha siku zake aumke wa obama hajawai beba mimba ko nae alitumia IVF tunakoelekea mabinti zetu wataingiwa na pepo la kutobeba mimba ili kuwavutia wanaume
Hii ni kali ivf ni njia ya kuaandaa mimba lkn mimba anabeba mwanamke uyo sijui anaelewaje iyo mambo ya IVFKwani hiyo ivf mimba inabebwa kwenye chupa mpaka mtoto anafikisha siku zake au
Maana sijakuelewa
Ila yataka moyoSio hatar kuna watu wanacancer ya uzazi hawez kumpa mimba mwanamke au maradhi kama hiv kuogopa kuambukizana unaenda pandikiza zinachukuliwa mbegu zako halafu zinaingizwa kwa mwanamke