Muhimbili kuanza kupandikiza mimba mwaka 2020

Wanapoteza muda na hela bure.

Ajiri madume ya mbegu yasiyojulikana yakae pale iwe kazi kuwamwagia tu, ukimwagiwa unakwenda anaingia mwingine naye anamwagiwa kuna watu wanamatank ya mbegu.
unawaza tofauti na maana hiyo wanalionayo muhimbili jaribu kuchimba kdg utaelewa
 
Mkiambiwa muende na wake zenu clinic pind wanapokuwa wajawazito mnaingia mitini.
 
... mimba halali ni ile inayotungwa kwa manii kuingia tumbo la uzazi baada ya uume kupenya ukeni; hiyo ndio njia pekee aliyoumba Mola wetu kuendeleza kizazi na sio vinginevyo.
Shukuru Mungu hujapata changamoto ya uzazi
 
Safi sana wale wanawake waliokua wanaringia vizazi hapa mjini mtaheshimiana sasa wema fursa hii mdogo wangu neno la ugumba kwako mwisho sasa
 
Kumbe wee hujaelewa tunachokizungumzia... Sio inshu ya kwenda kupandikiza nasemea utayari wa mwanaume. Mwanamke anaweza kupandikaza kwa ajili ya malengo yake ya ndoa
Naona hata wewe huelewi? Mtu kama anataka kukupa mtoto kwa nini apoteze hela kwenda kupandikiza wakati anaweza kuipata hapohapo kwako?
 
Naona hata wewe huelewi? Mtu kama anataka kukupa mtoto kwa nini apoteze hela kwenda kupandikiza wakati anaweza kuipata hapohapo kwako?
Sasa kila nikikutana nae navaa mpira.
rejea post yangu ya kwanza "mipira lazima itatumika sana" lazima atumie mbinu mbadala kuipata mimba kutoka kwangu
 
Sasa kila nikikutana nae navaa mpira.
rejea post yangu ya kwanza "mipira lazima itatumika sana" lazima atumie mbinu mbadala kuipata mimba kutoka kwangu
We nae huelewi hata unachokisimamia, kama unatumia mpira mwanamke anakuleteaje mimba? Atakuambia imeingilia wapi? Na huyo mwenzio unayemuunga mkono hoja yake amesema itumike mipira ili watu wasibambikwe. Kifupi hueleweki yaani.
 
 
mke wa obama hajawai beba mimba ko nae alitumia IVF tunakoelekea mabinti zetu wataingiwa na pepo la kutobeba mimba ili kuwavutia wanaume
 
Labda Da' Wema Sepetu, Lady Jei Dii wanaweza kupata faraja
 
Uboreshaji wa mbegu za kiume?
 
mke wa obama hajawai beba mimba ko nae alitumia IVF tunakoelekea mabinti zetu wataingiwa na pepo la kutobeba mimba ili kuwavutia wanaume
Kwani hiyo ivf mimba inabebwa kwenye chupa mpaka mtoto anafikisha siku zake au
Maana sijakuelewa
 
Kwani hiyo ivf mimba inabebwa kwenye chupa mpaka mtoto anafikisha siku zake au
Maana sijakuelewa
Hii ni kali ivf ni njia ya kuaandaa mimba lkn mimba anabeba mwanamke uyo sijui anaelewaje iyo mambo ya IVF
 
Habarini wakuu je muhimbili washaanza kupandikiza? Mwenye kujua tunaomba atujuvye.. Walisema mwezi wa januar rasmi wanaanza.. Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…