Hao hao madaktari Waziri mwenye dhamana aliyejionea mwenyewe pasi na cheng's wanaombana Rushwa! Unatarajia upasuaji wa hali ya juu hivyo waweze wapi.Ila tukubaliane tu hata hao mabeberu nao walianza hivi hivi. Hivyo wakati mwingine tuwaunge mkono madktari wetu kwa jitihada zao.
Sidhani kama walidhamiria kutokea kwa hayo mauti ya mabinti zetu wapendwa.
Bado tuna safari ndefu.
Kuna mwingine alikuja hapa JF anadainfudia ya Mil. 500 Daktaribwa TMJ kumfanyianupaduaji na KUTOA teuzi na mwishowe kudai ana Kansa! Alipoenda India akakuta Kuna makosa yalifanyika na hakuwa na kansa. Wakati walimpeleka ocean road akaanze mionzi akagomea hapo.? [emoji89]Ni shida hospitali zetu. Dr anaamua yeye mwenyewe bila kushirikisha wengine kwanza.