Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'Come straight', what is so funny! Nini shida kwenye hili!?hahaaaaaaaaaaaa this is funny,watu na taaluma zao kabisaa...
kuleta/kuunganisha ramli na mambo ya kisayansi.'Come straight', what is so funny! Nini shida kwenye hili!?
Tulipigwa ndugu yangu!🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 nchi ya vichaa hii, dah
Kupiga nyungu ilijaribiwa lini na wapi ikaonyesha mafanikio?Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?Hivi kwa nini tusipende vya kwetu? Shida ni nini iwapo na sisi watalam wetu wameona njia bora mojawapo kua ni hiyo? Kwani na sisi hadi tuige kwa kwingine? Naunga mkono msimamo wa Nchi yangu
Aisee nimechaka mno. New Jesus in town!Hi nchi tumesha potea tumekabidhi nchi kwa...........View attachment 1717224
USA -RiverWe ngosha mpuuzi sana kukaa usa unasahau mila za mamazako
Kupiga nyungu imejaribiwa lini na wapi ikaonyesha mafanikio?Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?'Come straight', what is so funny! Nini shida kwenye hili!?
Pengine wewe unazisikia sauna tu. Mimi nimezitumia miaka mingi tu. Tena kule kwa wenyewe, wenye sauna. Tatizo la hiki ''kituko'' cha Muhimbili ni kuwa wao wanapigia debe inatibu corona wakati wenye sauna wanazitumia kwa burudani. Ingekuwa sauna inasaidia kwenye corona basi nchi zenye sauna karibu kila nyumba kama Finland wasingehangaika.Msiojua hii ni sauna ipo toka zamani, hakuna hoteli kubwa isiyokuwa nayo, kazi yake kutoa sumu mwilini nk, inasaidia sana hata magonjwa nyemelezi ngumu kupata anayefanya sauna
Ngoja tuone huenda ina vitu vya ziadaSauna za wazungu ni sawa sawa na nyungu ? Maana wao walisema hazifai katika kipindi hiki cha kovidi, labda wataalamu watakuwa wameweka vya ziada ili kuzifanya salama na tofauti na hizo za wazungu
Haya ndiyo maswali ya kuuliza. Asante. Utapata majibu.Kupiga nyungu imejaribiwa lini na wapi ikaonyesha mafanikio?Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?
hujalazimishwa kutumia,siye tutatumiaKupiga nyungu imejaribiwa lini na wapi ikaonyesha mafanikio?Na hayo mafanikio yalikuwa ni asilimia ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hi nchi tumesha potea tumekabidhi nchi kwa...........View attachment 1717224