Muhindi alieyeenda kukodi muuaji Afrika Kusini

Muhindi alieyeenda kukodi muuaji Afrika Kusini

Yah washakuwa maadui. Na mbaya zaidi hawakuwa na technology ya kujua nini walikuwa wakizungumza tongo na shrien kwenye simu so ni he said, I said.
Yaan 2014 walishindwa kweli kusikia maongezi kwa simu kwa teknolojia ya uk?mi naona yule binti alizurumiwa uhai kabisa
 
Yaan 2014 walishindwa kweli kusikia maongezi kwa simu kwa teknolojia ya uk?mi naona yule binti alizurumiwa uhai kabisa
Hapana si mauaji yalifanyika S.A mkuu hata si UK so wapelelezi na wahusika ni S.A.
Polisi wa S.A ndio walishindwa kuthibitisha pasipo shaka uhusika wa Shrien kwa ujinga wao wa kufanya mambo kama business as usual. Shrien alileta jopo la mawakili na wataalam ambao pia walionyesha kuwa hata wanayedao alipiga risasi hawezi kuwa ndiye alipiga ile risasi kutokana na maelezo ya alipokuwa amekaa
 
Hapana si mauaji yalifanyika S.A mkuu hata si UK so wapelelezi na wahusika ni S.A.
Polisi wa S.A ndio walishindwa kuthibitisha pasipo shaka uhusika wa Shrien kwa ujinga wao wa kufanya mambo kama business as usual. Shrien alileta jopo la mawakili na wataalam ambao pia walionyesha kuwa hata wanayedao alipiga risasi hawezi kuwa ndiye alipiga ile risasi kutokana na maelezo ya alipokuwa amekaa

Naelewa mauaji yalifanyikia SA
Niliona jopo la mawakili si mchezo lazima tu wangeshindwa wa SA lakin hata pia ann kwao si wana uwezo hawakuleta mawakili
 
Wahindi noumer sana kuna mauaji yalitokea Upanga enzi hizo tukiwa wadogo, mfanyabiashara maarufu hapo Dar akijulikana kwa jina la Shabbir Bora alipigwa risasi barabara ya Ally Khan. Kisa kilikuja kkujulikana baadae kua alikua anamla mke wa jamaa aliekua akiishi London. Jamaa alimuonya huyo Bora lakini akakaidi, basi jamaa akarudi Dar akatafuta hitman siku jamaa anageuza UK, yule hitman akafanya yake hapo Upanga. Ilikua bonge la habari enzi hizo maana huyo Shabbir Bora alikua mdogo wa mmiliki na mfadhili wa timu ya Maji maji ya Songea akiitwa Shaffi Bora.
 
Naelewa mauaji yalifanyikia SA
Niliona jopo la mawakili si mchezo lazima tu wangeshindwa wa SA lakin hata pia ann kwao si wana uwezo hawakuleta mawakili
Kesi ya mauaji si inasimamiwa na jamhuri, so ilikuwa jamhuri dhidi ya Shrien na jamhuri ikashindwa thibitisha pasipo kuwa na shaka kuwa Shrien alipanga yale mauaji.
 
Back
Top Bottom