Yaan 2014 walishindwa kweli kusikia maongezi kwa simu kwa teknolojia ya uk?mi naona yule binti alizurumiwa uhai kabisaYah washakuwa maadui. Na mbaya zaidi hawakuwa na technology ya kujua nini walikuwa wakizungumza tongo na shrien kwenye simu so ni he said, I said.
Jamaa ukifatilia vizuri utagundua hakuuwa lkn ukikurupuka utaishia kubaki dilemma.
Hapana si mauaji yalifanyika S.A mkuu hata si UK so wapelelezi na wahusika ni S.A.Yaan 2014 walishindwa kweli kusikia maongezi kwa simu kwa teknolojia ya uk?mi naona yule binti alizurumiwa uhai kabisa
Hapana si mauaji yalifanyika S.A mkuu hata si UK so wapelelezi na wahusika ni S.A.
Polisi wa S.A ndio walishindwa kuthibitisha pasipo shaka uhusika wa Shrien kwa ujinga wao wa kufanya mambo kama business as usual. Shrien alileta jopo la mawakili na wataalam ambao pia walionyesha kuwa hata wanayedao alipiga risasi hawezi kuwa ndiye alipiga ile risasi kutokana na maelezo ya alipokuwa amekaa
Ndo tuwaambie hao wa kataa ndoa.Mkuu bado NDOA ni muhimu kwa mustakabali wa dunia, haya mengine ni sehemu ndogo sana kuliko mazuri yasiyotangazwa!.
Cause unajua jinsi mabaya yanavyosafiri kuliko mazuri.
Kama kawaida yaoNa matusi ya kutosha
Saizi yamefyata๐ bora humu ni fake id yani mtu unatamani umkoe kwenzi๐Ungeona kataa ndoa
Ndoa utapeli
Eeeh ila yenyewe ndo ya kwanza kuja kusema wanawake ni viumbe wa ajabu.Huwezi kuwaona sababu wako chama kimoja na muuaji Dewani
Huyo ndo kiongozi wa KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI. Wanafukuliwa mitaro kweli wakija huku wanajifanya wanapinga ndoa๐๐๐Kamuua mkewe ili aendelee kufirwa baada ya kuonja utamu....ulezi wa watoto wakiume umekuwa tabu sana siku hizi
Wadosi na wafilipino wengi ni mapungaKamuua mkewe ili aendelee kufirwa baada ya kuonja utamu....ulezi wa watoto wakiume umekuwa tabu sana siku hizi
South wamerithishwa tabia mbaya na wale wazungu ukiua kesi ni ndogo kuliko ukijeruhi kwa kisingizio kwamba majeruhi atatumia kodi za nchi kutibiwa lakini mfu ni kufukia tena kwa gharama za nduguo
Na wahindi ๐ ๐๐พWadosi na wafilipino wengi ni mapunga
Tena unaweza kusingiziwa kubaka. Na ukute we Ni mgeni, kwisha kaziKesi yenye uzito huko Bondeni ni ubakaji, ila mauaji ni kawaida mno.
Kesi ya mauaji si inasimamiwa na jamhuri, so ilikuwa jamhuri dhidi ya Shrien na jamhuri ikashindwa thibitisha pasipo kuwa na shaka kuwa Shrien alipanga yale mauaji.Naelewa mauaji yalifanyikia SA
Niliona jopo la mawakili si mchezo lazima tu wangeshindwa wa SA lakin hata pia ann kwao si wana uwezo hawakuleta mawakili
Kesi ya mauaji si inasimamiwa na jamhuri, so ilikuwa jamhuri dhidi ya Shrien na jamhuri ikashindwa thibitisha pasipo kuwa na shaka kuwa Shrien alipanga yale mauaji.
Mpaka leo familia ya Ann inaumia sana. Baba yake alihojiwa na iDX anasema maisha hayajawahi kuwa the sameAhaaa
Mpaka leo familia ya Ann inaumia sana. Baba yake alihojiwa na iDX anasema maisha hayajawahi kuwa the same
Ndio imepita hivyo na file washafunga ingekuwa US labda wangetafuta ushahidi upya. Ann alikuwa mremboMaskin hii story inasimumua na haijapatikana ukweli zaidi ukafunuka