Muhindi anatangaza picha zangu mtandaoni anadai mimi ni basha wake

Kama kazi huiwezi wape wengine waifanye aisee si unaombwa account yake mbona hutaki kutoa kama kweli humtaki mkuu...?

Usipotezee watu muda kukushauri kwa mtu ambaye unampenda aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu uzi stiki fanta hajatokea? uzi batili huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] stiki fanta yuko buzzy na ndoa, kwan hajakuambia n mama mjengo sahivi.? Wee andaa baby showers, maan yuko ktl hatua za kupata mtoto kwa ku pandikiza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani uongo?
 
Isijekuwa Huyo muhindi ni wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muambie aweke picha ya huyo muhindi hapa.
Vijana bhana wako wenyewe wanawapaparikia waarabu, wahindi na wazungu kwa kujifanya mabasha wao, wakishafaidika na malipo wanakimbia kurudi ktk hali zao za mwanzo.

Sasa huyu kayakanyaga kwa muhindi wa uswazi, atajua hajui. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sure kabisa yaan.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] stiki fanta yuko buzzy na ndoa, kwan hajakuambia n mama mjengo sahivi.? Wee andaa baby showers, maan yuko ktl hatua za kupata mtoto kwa ku pandikiza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
jomoni kwahiyo mbegu zitawekwa kupitia zizini?!!! 😁
 
Mcharaze mbarati
 
Mtu hawezi kusafiri kutoka Arusha bila ishu yeyote daah Dunia imeharibika Pisi za kumwaga hizi mpaka mnatafuta vitu vingine vya ajabu ajabu...
 
Hiyo ndiyo faida ya kuweka mapichapicha mtandaoni

Ova
 
Unafahamiana na mwanaume mwenzako mtandaoni na kutaka kuwa marafiki bila sababu yoyote,na mnakutana na kunywa chai pamoja na kupiga picha.........alikuwa anategemea nini?

Huyu keshakula/kuliwa
 
Mchukulie hatua za kisheria achana na hao wapumbavu wanaokwambia umle , epuka hio laana mkuu hao wanaokushauri Ivo ni wapuuzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…