Muhindi anatangaza picha zangu mtandaoni anadai mimi ni basha wake

Muhindi anatangaza picha zangu mtandaoni anadai mimi ni basha wake

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Eti ndugu na marafiki washakuona wewe ni mfiraji.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Afadhali hiyo mkuu huyo mhindi anakutaja kama mume wake.Angekutaja kama mke wake nadhani hali ingekuwa mbaya zaidi kwako.Maana hakuna kitu kibaya kama mwanaume rijali kutangazwa kuwa mara kwa mara unapigwa na kitu kizito uwani.

[emoji23][emoji23]
 
Angekuwa Mzungu ungekubali ili mradi siku moja akupeleke Ulaya/Marekani. Wewe ulikuwa huna nia ya kuomba ushauri wowote. Ulitaka tu watu wajue. Kama unabisha, sema hadi sasa umeamua kuchukua hatua gani?
 
Unafahamiana na mwanaume mwenzako mtandaoni na kutaka kuwa marafiki bila sababu yoyote,na mnakutana na kunywa chai pamoja na kupiga picha.........alikuwa anategemea nini?
Kidinyo
 
Bila picha tutaamini Mhindi anakupost kuwa wewe ni Mkewe...sema umekuja kujihami.... Weka picha hapa.
 
Huyu muhindi amekuwa akiweka picha zangu kwenye Instagram account yake na Facebook huku akiniita mume wangu.

Muhindi huyu aliniomba urafiki kisha baadae akaomba tukutane kwa ajili ya kufahamiana, maana yeye anakaa Arusha na mimi Dar, so alipokuja Dar akaniomba tuonane, sikuona ubaya.

Tulipiga picha mbili za pamoja, tukanywa chai pale K T Shop na kuagana. Kila mtu akaendelea na mambo yake.

Jioni ilipofika akanitumia sms kwamba amenipenda sana na anataka niwe bwana wake, nikakataa. Nikamwambia mambo ya ushoga kwangu ni big no.

Ni miezi miwili sasa imepita lakini kila mara amekuwa akituma picha tulizopiga wote na kuandika maneno kwamba I miss you very much mu sweet husband.

Hii inanikera sana na mbaya zaidi simpati kwenye simu. Ndugu na marafiki zangu wameziona hizo picha mtandaoni, yaani wananiona tayari nimekuwa mfi**ji.

Je nifanyeje kumdhibiti baradhuli ms**ge huyu?
Kmmk nimecheka kqma mazuri vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kwanini nimecheka sana. Pole sana, dio ukome kujuana juana na vitu vya ajabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom