Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mbona wewe huja fanya hivyo?.unataka mods wanifungie?Screenshot hayo madai kisha yaweke hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wewe huja fanya hivyo?.unataka mods wanifungie?Screenshot hayo madai kisha yaweke hapa
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ana jihami. Yeye mswahili ndiye anakuwa posted kama mke. Yule mhindi anadai huyu mleta mada ni demu wake. Ila jamaa kaja kageuza maneno.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]![]()
![]()
![]()
![]()
Eti ndugu na marafiki washakuona wewe ni mfiraji.
Afadhali hiyo mkuu huyo mhindi anakutaja kama mume wake.Angekutaja kama mke wake nadhani hali ingekuwa mbaya zaidi kwako.Maana hakuna kitu kibaya kama mwanaume rijali kutangazwa kuwa mara kwa mara unapigwa na kitu kizito uwani.
Huyu ana jihami. Yeye mswahili ndiye anakuwa posted kama mke. Yule mhindi anadai huyu mleta mada ni demu wake. Ila jamaa kaja kageuza maneno.
Mkuu yani hii picha hai display hebu fanya ku share tena tufaidike wengi[emoji38][emoji38][emoji38]
Yupo jukwaa la picha kwenye uzi wa giLesiHuu uzi stiki fanta hajatokea? uzi batili huu
KidinyoUnafahamiana na mwanaume mwenzako mtandaoni na kutaka kuwa marafiki bila sababu yoyote,na mnakutana na kunywa chai pamoja na kupiga picha.........alikuwa anategemea nini?
Kmmk nimecheka kqma mazuri vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu muhindi amekuwa akiweka picha zangu kwenye Instagram account yake na Facebook huku akiniita mume wangu.
Muhindi huyu aliniomba urafiki kisha baadae akaomba tukutane kwa ajili ya kufahamiana, maana yeye anakaa Arusha na mimi Dar, so alipokuja Dar akaniomba tuonane, sikuona ubaya.
Tulipiga picha mbili za pamoja, tukanywa chai pale K T Shop na kuagana. Kila mtu akaendelea na mambo yake.
Jioni ilipofika akanitumia sms kwamba amenipenda sana na anataka niwe bwana wake, nikakataa. Nikamwambia mambo ya ushoga kwangu ni big no.
Ni miezi miwili sasa imepita lakini kila mara amekuwa akituma picha tulizopiga wote na kuandika maneno kwamba I miss you very much mu sweet husband.
Hii inanikera sana na mbaya zaidi simpati kwenye simu. Ndugu na marafiki zangu wameziona hizo picha mtandaoni, yaani wananiona tayari nimekuwa mfi**ji.
Je nifanyeje kumdhibiti baradhuli ms**ge huyu?
Hahahahaaaaa,apambane tuKama ulikula jicho pambana tu. Kama sio basi peleka mahakamani
Hahahahahahaaaa mnataka muongezee kuirusha mitandao,mnapomuomba kapicha nacheka peke yanguKapicha ndugu myebusi, tunaomba ka foto
HahahahahaaaaaaPicha kwanza tuone mlivyopendeza.