babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,173
Niliwahi kusoma issue fulani Europe; Mwindi alikuwa ana biashara zake, mke na watoto wawili lakini alikuwa anaendeleza ushoga kwa siri. Machimbo yake yalikuwa ni kwenye website lakini baadhi wakawa wanapiga picha nae baadae wanazitumia kum blackmail awape pesa la sivyo wanazituma hizo picha kwa rafiki zake na familia.
Unaweza kumjua shoga by miles. Sasa wewe mpaka mmekutana na chai mkanywa ukashindwa kujua ni shoga.
Jamaa anakutumia messages kwamba anakupenda lakini kwenye simu hapatikani, Inawezekana umeingizwa kwenye utapeli sasa jamaa anavuta mkwanja la sivyo atatoa picha zote!
Wewe umeshafanywa ngombe wa maziwa!
Mwogopeni Mungu!
Unaweza kumjua shoga by miles. Sasa wewe mpaka mmekutana na chai mkanywa ukashindwa kujua ni shoga.
Jamaa anakutumia messages kwamba anakupenda lakini kwenye simu hapatikani, Inawezekana umeingizwa kwenye utapeli sasa jamaa anavuta mkwanja la sivyo atatoa picha zote!
Wewe umeshafanywa ngombe wa maziwa!
Mwogopeni Mungu!