Muhudumu wa afya na mwanafunzi wa udaktari (intern) hospitali ya wilaya Kaliua, mkoani Tabora wasimamishwa kazi kwa kufanya mapenzi wodini

Muhudumu wa afya na mwanafunzi wa udaktari (intern) hospitali ya wilaya Kaliua, mkoani Tabora wasimamishwa kazi kwa kufanya mapenzi wodini

USA kWa Mzee Biden kupiga kimoko wodini zamu za usiku ni kawaida Sana na hakuna anayejali....
Hii kazi Ina stress Sana, na ngono ni tiba nzuri ya msongo wa mawazo!
Ooh kumbe!
 
Duh yaaniii miguno ya utamuu wa... ilisikika hadi huku wodini wagonjwa walikoo hahaaaaaa ..

....Ngoswe penzi kituvu cha uzembeeee .... mapenzi/mahusiano eneo la kazii ni changamoto sana kwa kizazi cha sasa chenye damu inayochemuka mahali popote
 
Si ndio mafunzo kwa vitendo hayo?
Au walitakaje,
We unategemea nini mke na mme pamoja wawili tu sehemu peke usiku
Shetani hawezi waacha
 
Huyo mkuu wa wilaya anayefukuza wataalam adimu yeye amesoma mpaka level gani?
Wivu tu.
Kweli mtu utadiriki kufanya mapenzi wodini wakati Kuna vile vyumba vya manesi?
Sasa hao wagonjwa acha wafanye umbea madaktari wafukuzwe tuone watatihiwa na Nani.
 
Siwezi nikaoa mwanamke nurse asee...

Imagine we unaoa halafu mtu mwingine anakupangia siku za kulala nae.
Kama nilivyoshuhudia hospitali moja Dar.
Wewe unagharamikia kula mpaka chupi, halafu unaachwa usiku ukiumwa na mbu kumbe Kuna mtu anaivua chupi hiyo hiyo ya Bei mbaya uliyomnunulia mkeo.
 
Sasa hao wagonjwa acha wafanye umbea madaktari wafukuzwe tuone watatihiwa na Nani.
Potelea Pweteee!!
Hawana huruma hao, wenzao wagonjwa halafu bado wanawaongezea maumivu kwa kuwatamanisha!!
 
Mkuu wa wilaya ya Kaliua, Paul Chacha amewasimaisha kazi watumishi wawili wa hospitali ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kushiriki mapenzi hovyo wodini.

Chacha amesema awali ulifanyika uchunguzi baada ya wagonjwa kulalamikia vitendo vya wauguzi hao kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu za usiku.

Mmoja wa wahudumu hao alikuwa kwenye mafunzo ya vitendo na mwenzake alikuwa ni mtumishi wa hospitali hiyo.

Chanzo : CG Fm

======

Siku chache baada ya mganga wa Hospitali ya Wilaya ya Kaliua, Irene Apina kusimamishwa kazi kwa tuhuma za kukataa kumpa matibabu mtoto wa miaka mitano, wauguzi wawili wa hospitali hiyo wamesimamishwa kazi kwa vitendo vya utovu wa nidhamu.

Watumishi hao, mmoja anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini na daktari ambaye yupo katika mafunzo kwa vitendo huku mwingine akituhumiwa kuwa kinara katika utoaji wa mimba.

Katika kikao chake na watumishi wa sekta ya afya, Mkuu wa Wilaya ya Kaliua (DC), Paul Chacha aliwasimamisha kazi watumishi hao na kila mmoja kumpa tuhuma zake.

DC Chacha amesema kuwa baada ya kuwasimamishwa kazi, tayari kuna timu imeundwa kuchunguza tuhuma zao.

Amesema kuwa muuguzi wa afya katika hospitali hiyo ambaye jina limehifadhiwa anatuhumiwa kwa kuwa kinara wa utoaji mimba huku mhudumu wa afya akilalamikiwa na wagonjwa kufanya mapenzi wodini na daktari ambaye yupo kwenye mafunzo.

"Kama huyu mtu ni daktari akiwa mafunzoni maana yake ndio kipindi cha matazamio halafu bado mnamuacha hapo anafanya nini? Taarifa yake iende mbaya kuwa hafai" amesema Mkuu huyo wa Wilaya

Daktari huyo aliye mafunzoni anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini ambapo inadaiwa wagonjwa wamekuwa wakikerwa na kitendo hicho na kuanza kulalamika.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hataki kuona mambo yasiyofaa katika Wilaya anayoiongoza na kwamba hatasita kuchukua hatua stahiki lengo ni kukomesha tabia mbaya na watumishi wawe mfano kwa kutoa huduma bora kwa wananchi.

Mwananchi
@Moderator Kichwa cha Uzi kina Makosa makubwa sana.

Kimeandikwa" Wauguzi wawili wasimamishwa kazi kwa kufanya mapenzi wodini"

Ukisoma ndani ya Habari kama ilivyolipotiwa na Mwananchi, watu hao ni Mhuhudumu wa afya na Daktari( aliyeko kwenye Mafunzo).

Sasa hapo utaona hao wote si wauuguzi.

Hicho chanzo kingine ya habari, wao wamekwisha rekebisha na kuomba radhi.


Nawaomba na ninyi muufanyie masahihisho huu uzi, kuuacha hivi unazidi kupotosha, na kuchufua taaluma ya Uuguzi.
IMG-20211130-WA0014.jpg
IMG-20211130-WA0015.jpg
 
Moderator Kichwa cha Uzi huu nilio screenshoot hapa chini,kina Makosa makubwa sana.

Kimeandikwa" Wauguzi wawili wasimamishwa kazi kwa kufanya mapenzi wodini"

Ukisoma ndani ya Habari kama ilivyolipotiwa na Mwananchi, watu hao ni Mhuhudumu wa afya na Daktari( aliyeko kwenye Mafunzo).

Sasa hapo utaona hao wote si wauuguzi.

Hicho chanzo kingine ya habari, wao wamekwisha rekebisha na kuomba radhi.

Nawaomba na ninyi muufanyie masahihisho huu uzi, kuuacha hivi unazidi kupotosha, na kuchufua taaluma ya Uuguzi.
Screenshot_20211130-181643.jpg
IMG-20211130-WA0014.jpg
IMG-20211130-WA0015.jpg


IMG-20211130-WA0014.jpg
 
weka picha, aisee kama una mke nesi andika maumivu na sare zao za vimini sketi, afu sijui manesi huwa wanajidunga sindano za kubusti ma.ta.ko, wana makalio makubwa yanatetema hayo

hata ingekuwa ni wewe upangiwe nae zam ya usiku na kibaridi hiki cha mvua, lazma jitu liliwe kimasihara aisee.
Zile sare zao zinawachora mpaka shida kwetu wanaume kamili.
 
Tunalalamikia mambo ya kipuuzi puuzi haahaa natania😂😂😂
 
Hivi kwanini kusex kiwiziwizi inakuwaga tamu kuliko mkiwa huru mfano msex kwenye kichaka, darasan, ila hao itakuwa bidada alikuwa analialia😁😁😁
 
huyo DC aache kutafuta umaarufu wa kisengerema kuna tume ya watumishi wa afya, kuna mwajiri wao ambaye ni DED sasa inakuaje mtu mmoja tu aliyeteuliwa tena kwa sifa anazojua mteuzi wengine hatuzijui awe na mamlaka ya kufukuza kazi mtu aliyeingia kazini kwa sifa zinazotambulika?
 
Back
Top Bottom