Wagonjwa huwa wanamambo ya ajabu sana, unaweza wahudumia vizuuuri ukifanya kakosa kadogo tu masikio yamesimama alafu unakuta ni kijiji kijiji kweli ambapo wakipeleka mtumishi mwingine anakimbia hizi kazi bhana.Huyo mkuu wa wilaya anayefukuza wataalam adimu yeye amesoma mpaka level gani?
Wivu tu.
Kweli mtu utadiriki kufanya mapenzi wodini wakati Kuna vile vyumba vya manesi?
Sasa hao wagonjwa acha wafanye umbea madaktari wafukuzwe tuone watatihiwa na Nani.
WodiniUlishawahi kula tunda kimasihara?
Ni mazingira gani hatari ushawahi fanya mapenzi?
Sindio hapo sasa?Kwani wakifanya mapenzi kunaathiri vp kupona kwa wagonjwa?
Tuache utani papuchi ni tam wewe na papuchi ndio zinatufanya tutafute wewe, unafikiri bila papuchi utaishi? Papuchi ndio kila kitu.Huyo muuguzi huenda akili yake iko kwenye papuchi....anawaza kwa kutumia papuchi..na hata kipindi anasoma chuo papuchi yake aliitumia kuwagawia waalimu wake ili ashinde mitihani ya semister......HUYU MUUGUZI APEWE A.K.A YA PAPUCHI MUUGUZI
Kama unashindwa kumuheshimu mtu ambaye hukuwahi hata kumuona nadhani hata unapoishi hauna heshima relax sio kila kitu uchukulie seriousNakuonaga una busara sana na mawani yako kumbe na ww ni walewale maji mara moja
Nimesha maizi ulivyo!! no harm easy ladyKama unashindwa kumuheshimu mtu ambaye hukuwahi hata kumuona nadhani hata unapoishi hauna heshima relax sio kila kitu uchukulie serious
Daktari wa mafunzo(Intern) yupo hospitali ya wilaya?Daktari ambaye yupo katika mafunzo kwa vitendo
Sijali na siogopi wewe kama nani ingependeza ungakuwa bizze na life yakoNimesha maizi ulivyo!! no harm easy lady
hao wagonjwa kweli wanaumwa wanapata wapi muda wa kuwapiga chabo hao washika roho zaoDaktari huyo aliye mafunzoni anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini ambapo inadaiwa wagonjwa wamekuwa wakikerwa na kitendo hicho na kuanza kulalamika.
Hao wote vijana tu, ni mwanafunzi na muhudumu.Sio Daktari au nesiKama kuna wanandoa Nina waone a huruma wenza wao.
Ndio hapo sasa. Waache wapate raha usiku mrefuKwani wakifanya mapenzi kunaathiri vp kupona kwa wagonjwa?
Chacha amesema awali ulifanyika uchunguzi baada ya wagonjwa kulalamikia vitendo vya wauguzi hao kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu za usiku.[emoji2827][emoji2827][emoji2827]Mkuu wa wilaya ya Kaliua, Paul Chacha amewasimaisha kazi watumishi wawili wa hospitali ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kushiriki mapenzi hovyo wodini.
Chacha amesema awali ulifanyika uchunguzi baada ya wagonjwa kulalamikia vitendo vya wauguzi hao kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu za usiku.
Mmoja wa wahudumu hao alikuwa kwenye mafunzo ya vitendo na mwenzake alikuwa ni mtumishi wa hospitali hiyo.
Chanzo: CG FM
======
Siku chache baada ya mganga wa Hospitali ya Wilaya ya Kaliua, Irene Apina kusimamishwa kazi kwa tuhuma za kukataa kumpa matibabu mtoto wa miaka mitano, wauguzi wawili wa hospitali hiyo wamesimamishwa kazi kwa vitendo vya utovu wa nidhamu.
Watumishi hao, mmoja anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini na daktari ambaye yupo katika mafunzo kwa vitendo huku mwingine akituhumiwa kuwa kinara katika utoaji wa mimba.
Katika kikao chake na watumishi wa sekta ya afya, Mkuu wa Wilaya ya Kaliua (DC), Paul Chacha aliwasimamisha kazi watumishi hao na kila mmoja kumpa tuhuma zake.
DC Chacha amesema kuwa baada ya kuwasimamishwa kazi, tayari kuna timu imeundwa kuchunguza tuhuma zao.
Amesema kuwa muuguzi wa afya katika hospitali hiyo ambaye jina limehifadhiwa anatuhumiwa kwa kuwa kinara wa utoaji mimba huku mhudumu wa afya akilalamikiwa na wagonjwa kufanya mapenzi wodini na daktari ambaye yupo kwenye mafunzo.
"Kama huyu mtu ni daktari akiwa mafunzoni maana yake ndio kipindi cha matazamio halafu bado mnamuacha hapo anafanya nini? Taarifa yake iende mbaya kuwa hafai" amesema Mkuu huyo wa Wilaya
Daktari huyo aliye mafunzoni anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini ambapo inadaiwa wagonjwa wamekuwa wakikerwa na kitendo hicho na kuanza kulalamika.
Mkuu huyo wa wilaya amesema hataki kuona mambo yasiyofaa katika Wilaya anayoiongoza na kwamba hatasita kuchukua hatua stahiki lengo ni kukomesha tabia mbaya na watumishi wawe mfano kwa kutoa huduma bora kwa wananchi.
Mwananchi
Hajawafukuza kazi ametoa maagizo ya kusimamishwa kazi.huyo DC aache kutafuta umaarufu wa kisengerema kuna tume ya watumishi wa afya, kuna mwajiri wao ambaye ni DED sasa inakuaje mtu mmoja tu aliyeteuliwa tena kwa sifa anazojua mteuzi wengine hatuzijui awe na mamlaka ya kufukuza kazi mtu aliyeingia kazini kwa sifa zinazotambulika?
Na waume zao huko nje huwa wanatumia nafasi hizo hizo vizuri Sana.. ..haya maisha haya........unaambiwa wiki hii yote niko - "NIGHT SHIFT" .........duhhhh....na unampeleka mwenyewe unamuendesha ukimshusha na buuuusu maridadi..............kumbe kuna kashonzi anamkazia kwenye kale ka chumba ka kugawia dawa wagonjwa.....pambaaf sana....
He he hee mlupo umepanick ndio zenuSijali na siogopi wewe kama nani ingependeza ungakuwa bizze na life yako