Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

Inawezekana. Ngoja nione mwisho wake.

Unajua kwenye vita ya kuchuniana kati ya mwanamke na mwanaume, mbeleni mwanamke huwa anasalimu amri na kuomba suluhu. Wenzetu wana mioyo miepesi.

Sasa wewe na huyo ‘dada’ nani ana moyo mwepesi?[emoji23]
Kunywa maji mkuu, uendelee na mapambano mengine.
 
Una miaka mingapi mkuu?
 
Mbona jibu unalo boss, alikutaka ila hukumpa ushirikiano, maana yake ukaona sio type yako
Sasa unaona amekuchukia kwa sababu umemdharau kama hana
Bora ujipikie tu maana hapo utakula visivyoliwa ndio maana anampa mwingine akuletee

Yaani kumuudhi mhudumu mimi siwezi aisee nawaogopa sana anaweza akakupa uchafu ulala tu kwenye mboga ya samaki
kula mzigo au hama chaguo lako moja hapo
 
Shida huja mtongoza wala kumla, wanawake ndivyo walivyo, akikuonyesha upendo mpende pia, we piga tuu alafu tambaa ni boora kuliko kumchunia maana mwisho wa siku yeye ndiyo ata anza kukuchukia sasa.
 
Watu kama nyie ndo mnafanya jua liwake sana dar hii,sasa mtoto anajiangusha ndani ya 18,unapaisha tuta?
 
Inawezekana. Ngoja nione mwisho wake.

Unajua kwenye vita ya kuchuniana kati ya mwanamke na mwanaume, mbeleni mwanamke huwa anasalimu amri na kuomba suluhu. Wenzetu wana mioyo miepesi.
Ivi ww n mgen wa mapenz,Wanawake au nn yaan?.Jidanganye Sasa,mwanamke akikuchukia anakuchukia mazimaaa yaan ukiona karudi kwako jua kunakitu anakitafuta hana pa kukipata.
 
Dada wakati huo alikua single anakutaka wew ukamkunjia,amepata beana ake na anajuana na wafanyakazi wenzake hapo kanin kwake sasa akikushubokea si ni noma mzee.
 
Bro....kuliko kuangaika hapa na majibu...yanayo changanya changanya
Kwann usi mfate face to face

Umuulize kwann kakubadirikia?????

Mnapenda kuchosha watu!!!
 
Usoni haufurahishi na Utani, Moyoni Unautamani Uwe zaidi ya Utani
 
Wempigie pipe mkuu, utakuja kunishukuru badae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…