Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Kuna movie moja nimesahau title,jamaa waliiba bank "milioni mia moja" halafu meneja wa bank hiyo akaiba "milioni mia nne" na kuwaambia vyombo vya upelelezi kuwa wameibiwa milioni mia tano.Kwa ujinga wa nchi hii usishangae hata hilo wazo alipewa na watumishi wa benki waliompa mkopo ambao kwenye ukaguzi nao wamejifanya kushangaa pia. Kipindi hicho walishakula mgao wao kwenye hiyo M50 kitambo.
Hii ni sawa na polisi wanaoiba na kuua mtu halafu hao hao kujifanya wanachunguza kilichotokea.
Kuna uhalifu hapo.Waanze na maafisa mikopo wao hao CRDB.Nimetulia paleee navuta kiko yangu yenye tumbaku mbichi.
Hata kwenye dhamana wanaenda lia kwa mwendo huo.Huyo kajidanganya, watamnasa maana aliweka dhamana itapigwa mnada mapema tu.
Wala inamdhalilisha mkopajiHii video inawafedhehesha na kuwadiscredit CRDB wenyewe. Yaani how come wanaweza kulizwa kipumbavu namna hiyo na mteja kwa kiasi kikubwa hivy?