TANZIA Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia

TANZIA Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia

Mwigizaji Mkongwe na Maarufu nchini Tanzania, Grace Mapunda amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Aziz Ahmed ambaye ni Muongozaji wa Tamthilia ambaye alikuwa akifanya naye kazi kwa ukaribu kwa muda mrefu.

Imeelezwa kua Grace hakuumwa muda mrefu, ila alipelekwa Hospitali juzi na usiku wa kuamkia leo Novemba 2, 2024 akapoteza uhai. Msiba upo nyumbani kwake Sinza Vatcan.

Apumzike kwa amani

ILA hawa wanaoremba dada zetu siku hizi aisee

Wamekandika uso mzima chokaa hadi mtu anapoteza uasilia wake
 

Mwigizaji Mkongwe na Maarufu nchini Tanzania, Grace Mapunda amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa kwa matibabu.

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Aziz Ahmed ambaye ni Muongozaji wa Tamthilia ambaye alikuwa akifanya naye kazi kwa ukaribu kwa muda mrefu.

Imeelezwa kua Grace hakuumwa muda mrefu, ila alipelekwa Hospitali juzi na usiku wa kuamkia leo Novemba 2, 2024 akapoteza uhai. Msiba upo nyumbani kwake Sinza Vatcan.

Apumzike kwa Amani.
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun
 
Kwa Amani kumejaa apumzike kwa bwanaheri
Kuna kitu kimoja nataka tukumbushane binadamu wenzangu
tuishi kwa amani upendo na kumnyenyekea Mungu. Tusivimbe

Ukweli ni kwamba kadiri siku zinavyosonga ndio makaburi yetu yanakaribia
ukiona kumekucha tu ujue we are making step......towards the grave
Tafakari
hata uishi vipi utakufa tu
 
Kwa Amani kumejaa apumzike kwa bwanaheri
Kuna kitu kimoja nataka tukumbushane binadamu wenzangu
tuishi kwa amani upendo na kumnyenyekea Mungu. Tusivimbe

Ukweli ni kwamba kadiri siku zinavyosonga ndio makaburi yetu yanakaribia
ukiona kumekucha tu ujue we are making step......towards the grave
Tafakari
Sasa kwa amani kumejaa halafu ndio tukaishi huko ....labda upendo japo nae naskia amechoka siku hizi pesa ndio habari na hana muda!
 
Kwa Amani kumejaa apumzike kwa bwanaheri
Kuna kitu kimoja nataka tukumbushane binadamu wenzangu
tuishi kwa amani upendo na kumnyenyekea Mungu. Tusivimbe

Ukweli ni kwamba kadiri siku zinavyosonga ndio makaburi yetu yanakaribia
ukiona kumekucha tu ujue we are making step......towards the grave
Tafakari
Kwahiyo baada ya kukukataa ukamuona amevimba! Hakukupenda, ona sura lako baya!
 
Not at all!
Its Sad Mkuu kama Umewahi Kupoteza Baba na Mama Utaelewa Jinsi watoto Wanavyoteseka Wakiacha Ukiwa hata kama wakiwa na Mali kiasi gani..

Mimi Ni mmoja wa Niliowahi kupoteza wazazi Wote So najua Jinsi Hali ilivyo kupoteza Nguzo iliyokuwa Imebaki
I can feel it mkuu. Binafsi niliwapoteza wazazi wote 2017 kwa ajali na isitoshe nimezaliwa peke yangu. No Dada No Kaka aiseee kama sikuchizika basi Sitokuja kuchizika. Mungu ni Mwema Sana Niko Ngangari Kamili Gado. Apumzike kwa Amani Tesaaa wa Huba
 
Mwigizaji Mkongwe na Maarufu nchini Tanzania aitwae Grace Mapunda amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es salaam alipokuwa amelazwa kwa ajili ya matibabu.

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Aziz Ahmed ambaye ni Muongozaji wa Tamthilia ambaye alikuwa akifanya naye kazi kwa ukaribu kwa muda mrefu “Ni kweli amefariki usiku wa kuamkia leo Mwananyamala Hospitali, alikuwa anasumbuliwa na nimonia”

“Hajaumwa muda mrefu aliletwa Hospitali juzi kisha jana tukaja kumuona ila usiku wa kuamkia leo ndio hivyo tena, msiba upo nyumbani kwake Sinza Vatcan”

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
IMG-20241102-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom