TANZIA Muigizaji na Rappa, Earl Simmons maarufu DMX amefariki Dunia akiwa na miaka 50

TANZIA Muigizaji na Rappa, Earl Simmons maarufu DMX amefariki Dunia akiwa na miaka 50

DMX yawezekana alikua rappa mzuri yaani maana ya freestyle,flows, but mashairi yake mepesi Sana

Nyimbo mwanzo Hadi mwisho Ni "niggas" ,fvcking" ,"shit" what the hell.

Ndio maana huwa wanfilisika wakishameki mkwanja .

Fatilia nyimbo za JayZ kuanzia 2010 kuja juu anaongea vitu sensible na lugha ya gheto kaipunguza ndio maana mziki wake unakubalika na kada zote sio ajabu kuwa bilionea wakati wenzeka analioanza nao gamu bado wanastrugle na unga,mademu,guns killing na makorokocho mengine

JayZ anaweza hata pewa podium/platform katika democratic convention atoe neno ,Ila watu dizaini ya akina DMX wale ambao full time wao Ni "niggaz" shit, fvcking hawawezi pewa.

Hip-hop Yao imekaa kigheto zaidi watu washahama huko Wana modernize hip-hop ndio kila siku wanachuku mi grammy.mfano JayZ ,Kanye west ,Drake, Kendrick Lamar na wengineo.

Niggaz should change.
Unaongea utopolo gani wewe bwenga!

Lets celebrate maisha ya Dogman X.

Anakwambia....

Either let me fly or give me death...
Let my soul rest, take my breath...
If I don't fly I'ma die anyway...
I'ma live on, but I'll be gone any day.
 
R
DMX ambaye jina lake la kuzaliwa ni Earl Simmons amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 50

Mnamo tarehe 3 Aprili 2021, alilazwa katika Hospital ya White Plains iliyoko Jijini New York ikielezwa kuwa alikuwa akisumbuliwa na Shambulio la Moyo linalodaiwa kutokana na matumizi ya #DawaZaKulevya


View attachment 1747773

Sad day for hip hop!

Rapper DMX has died after being on life support at White Plains Hospital, his family said Friday.

A statement from the family said the Grammy-nominated artist died at the hospital “with his family by his side after being placed on life support for the past few days.”

The 50-year-old from Yonkers was hospitalized a week ago after suffering a heart attack.


A large crowd of family, friends and fans gathered outside the hospital earlier this week for a prayer vigil.


DMX, whose birth name is Earl Simmons, released the first of his seven albums in 1998. He’s a three-time Grammy nominee and a two-time American Music Award-winner.

He struggled with substance abuse over the years, but his lawyer said he could not confirm reports the heart attack was caused by an overdose.
View attachment 1748006View attachment 1748007
Rapa pekee aliyekuwa yupo hai ambaye alikuwa old school na mjuba kweli kweli, hawa wa siku hizi kazi yao kuuza sura tu, ila hili sembe jamani sijui kwanini watu wanalidekeza.
 
Ruff riders Anthem nilikuwa najiona mgumu na kauzu hilo ngoma likipigwa bilicanas enzi hizo.RIP Maaaaan.
Dah Msela alikua anatoa vinu hasa alafu anakufa kizembe tu,
Snoopy dogg yupo anadunda tu,
Project kibao
Dr Dre juzi ndo nae alizama corma baada ya mkewe kulamba kila kitu.
50 Cent mjanja mwanamke kamsue alizama na kuandika kafilisika akanunua kabajaj kaenda nako court
Piga kesi lawyer kasimamia mteja wake hana kitu
Kumbe ana hela ndefu sana🤣🤣🤣.
Lecheminduroi.
Ja Rule yupo naona anadunda tu slow slow.
Hawa Masela walijua kutwanga Rap
 

Kuna mzuka unanijia nikisikiliza mchizi.kubaaabeki. kweli wakati
DMX ambaye jina lake la kuzaliwa ni Earl Simmons amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 50

Mnamo tarehe 3 Aprili 2021, alilazwa katika Hospital ya White Plains iliyoko Jijini New York ikielezwa kuwa alikuwa akisumbuliwa na Shambulio la Moyo linalodaiwa kutokana na matumizi ya #DawaZaKulevya


View attachment 1747773

Sad day for hip hop!

Rapper DMX has died after being on life support at White Plains Hospital, his family said Friday.

A statement from the family said the Grammy-nominated artist died at the hospital “with his family by his side after being placed on life support for the past few days.”

The 50-year-old from Yonkers was hospitalized a week ago after suffering a heart attack.


A large crowd of family, friends and fans gathered outside the hospital earlier this week for a prayer vigil.


DMX, whose birth name is Earl Simmons, released the first of his seven albums in 1998. He’s a three-time Grammy nominee and a two-time American Music Award-winner.

He struggled with substance abuse over the years, but his lawyer said he could not confirm reports the heart attack was caused by an overdose.
View attachment 1748006View attachment 1748007

Kuna mzuka unanijia nikisikiliza mchizi.kubaaabeki
DMX ambaye jina lake la kuzaliwa ni Earl Simmons amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 50

Mnamo tarehe 3 Aprili 2021, alilazwa katika Hospital ya White Plains iliyoko Jijini New York ikielezwa kuwa alikuwa akisumbuliwa na Shambulio la Moyo linalodaiwa kutokana na matumizi ya #DawaZaKulevya


View attachment 1747773

Sad day for hip hop!

Rapper DMX has died after being on life support at White Plains Hospital, his family said Friday.

A statement from the family said the Grammy-nominated artist died at the hospital “with his family by his side after being placed on life support for the past few days.”

The 50-year-old from Yonkers was hospitalized a week ago after suffering a heart attack.


A large crowd of family, friends and fans gathered outside the hospital earlier this week for a prayer vigil.


DMX, whose birth name is Earl Simmons, released the first of his seven albums in 1998. He’s a three-time Grammy nominee and a two-time American Music Award-winner.

He struggled with substance abuse over the years, but his lawyer said he could not confirm reports the heart attack was caused by an overdose.
View attachment 1748006View attachment 1748007
Kubaabeki. Nikimsikiliza mchizi kuna mzuka unanijia nakumbuka long fuckin nyokolo. R.I.P bro
 
Unaongea utopolo gani wewe bwenga!

Lets celebrate maisha ya Dogman X.

Anakwambia....

Either let me fly or give me death...
Let my soul rest, take my breath...
If I don't fly I'ma die anyway...
I'ma live on, but I'll be gone any day.
😂😂😂😂😂
 
Msanii wa hip hop mkongwe DMX aaga dunia baada ya kulazwa hospitalini kutokana na mshtuko wa moyo.
R.I.P. Legend!

DMX, the hardcore hip-hop star whose ominous, snarling raps chronicled the violence and struggles of the American street, has passed away at 50 yrs.
He died on Friday after suffering a heart attack on April 2, following an overdose at his home in White Plains, N.Y.
The Mayor of Yonkers wants to honour the rapper with a lasting gesture. ❤
He will be honoured in his hometown by having a street or statue named after him.

“That’s how rough riders roll” ~ DMX
 
Weng wanashindwa kutofautisha nymbo za dmx,sisqo .ginuwine na ludacris
Sijui kwann
Mbona dmx alikuwa tofauti kabisa na hao wengine?
Katika hao mfokaji ni ludacris ila vibe zake na mwendazake ni tofauti kabisa.
 
"Either let me fly or give me death
Let my soul rest, take my breath
If I don't fly I'ma die anyway
I'ma live on, but I'll be gone any day…"

DMX
 
Msanii wa hip hop mkongwe DMX aaga dunia baada ya kulazwa hospitalini kutokana na mshtuko wa moyo.
R.I.P. Legend!
DMX, the hardcore hip-hop star whose ominous, snarling raps chronicled the violence and struggles of the American street, has passed away at 50 yrs.

“That’s how rough riders roll” ~ DMX

Pole yake
 
Alipofungwa kule jela walilazimishwa kuvaa nguo za pink. Hilo lilimuumiza sana mwendazake kutokana na ujumbe unaobebwa na rangi hiyo.
Wagumu bwana[emoji1][emoji1]
 
Nmemjulia kwenye wimbo wake wa What these Bit-hes want from a nigga?? kukawa na challenge flani waliita DMX CHALLENGE...

There was Brenda, LaTisha, Linda, Felicia
Dawn, LeShaun, Ines, and Alicia
Teresa, Monica, Sharron, Nicki
Lisa,, well I met her in a ice cream parlor
Tonya, Diane, Lori and Carla
Marina,Selena,Katrina ,Sabrina
About three Kim's LaToya, and Tina

Apumzike kwa amani[emoji120]
ilikuwa inafanyikaje hiyo challenge kiongozi?😍
 
20210410_100637.jpg
 
Back
Top Bottom