Ukipewa hirizi navmganga ukiokoka hurudishi hiriziAnngeenda kuligawa hata kwenye taasisi za kusaidia jamii lingetumika katika harakati hizo angekuwa amefanya jambo la maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipewa hirizi navmganga ukiokoka hurudishi hiriziAnngeenda kuligawa hata kwenye taasisi za kusaidia jamii lingetumika katika harakati hizo angekuwa amefanya jambo la maana
T 256 pasipo kujali rangiMbona kachoma gari jeusi,?
Madhabahu ya kichawi lazima yachomwe moto.Alibadili gari rangi? Iliyochomwa inaonekana kuwa na rangi nyeusi, tofauti na hii, licha ya namba za usajili kufanana T256 DRC
Si angeirudisha tu Kwa aliyempa? Chakula nacho amekitapika?
Asomewe mashitaka ya kuchafua hali ya hewa, Amechangia Global Warming.Kwani haiwezakani kubadilisha rangi...
Au hujawahi kuona?
Labda.Itakua alibadilisha rangi
Alibadili gari rangi? Iliyochomwa inaonekana kuwa na rangi nyeusi, tofauti na hii, licha ya namba za usajili kufanana T256 DRC
Si angeirudisha tu Kwa aliyempa? Chakula nacho amekitapika?
Sema amekosa washauri huyu jamaa,. Hadi anatia hurumaAtapata wapi hiyo million 2 na tayari anadai nyota yake imesepa na nabii,, asitufanye watu ni wajinga bwana Kuna mengi nje ya pazia anayaficha ila muda utasema.
Amesema alilibadili rangi from silver to blackMbona Gari kwenye Picha ni nyeusi inachomwa ila aliyopewa ni nyeupe/silver?
Ko ww ulieangalia mwanzo hadi mwisho baadae mwisho alionekana akiondoka nalo, Au? Afu kuhusu rangi huko kwenu hamjui kama gari inabadilishwa rangi au? Yote kwa yote wewe ni bogus na m'bishi kenge.Uongo mtupu.
1. Kwanza alipewa gari nyeupe/silver
2. Angalia tukio vizuri mwanzo mwisho...hajachoma chochote
Ni chaguo lake kama aliyempa tu naye angeweza kutompa na kumpa mwingine au kukaa nalo tu kwenye eneo lakeKwanini asingelirudisha
We huwezi ku reason bila kutukana?Ko ww ulieangalia mwanzo hadi mwisho baadae mwisho alionekana akiondoka nalo, Au? Afu kuhusu rangi huko kwenu hamjui kama gari inabadilishwa rangi au? Yote kwa yote wewe ni bogus na m'bishi kenge.
Gari aliyochoma na aliyopewa zinatofautiana rangi, aliyopewa ni nyeupe aliyochoma ni dark blue ukweli ukoje?.Kuna video zinasambaa huko Yotube na ticktok ikionesha muimbaji wa Injili akichoma gari la alilopewa na mtumishi/mchungaji kama zawadi
Kuna moja nimeangalia anasema amechukua uamizi huo baada ya kugundua madhabahu hiyo haikua sahihi kwake
Haya, wenye imani zenu na pia je kisheria hili lipoje
Soma: Sio kosa mtu kuchoma mali yake
Madhabahu ya kichawi lazima yachomwe moto.
Misosi imetapishwa na watumishi. Amekuwa mtu mpya kabisaOh! Sawa mtumishi.
Misosi aliyotafuna imechomewa tumboni au hiyo haina madhara?
Gari aliyochoma ni nyeusialipewa gari na tajiri anayejiita nabii pale Arusha, huwa kuna mashindano ya umisi kanisani kwake
View attachment 3213057
Ilikuwa lazima kuchukua video wakati anaichoma hiyo gari ?Amshukuru Mungu kwa kumfunulia hilo.
Apambane kuikomboa nyota yake iliyoshikwa na ile madhabahu ya uwongo.
Ndomana tangu apewe zawadi amezimika kama mshumaa... Mungu amrehemu
Sawa mtumishi. Ni nani mimi kukubishia?Misosi imetapishwa na watumishi. Amekuwa mtu mpya kabisa